Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Rais mwingine aliyealikwa na Rais JPM kutembelea Tanzania
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > Rais mwingine aliyealikwa na Rais JPM kutembelea Tanzania
AyoTVTop Stories

Rais mwingine aliyealikwa na Rais JPM kutembelea Tanzania

August 11, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri anatarajia kutembelea Tanzania baada ya kualikwa na Rais Magufuli ikiwa ni moja ya mikakati ya kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia na kufungua milango ya fursa za kiuchumi baina ya nchi hizo.

Akieleza ujio huo Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki Dr. Aziz Mlima amesema kwa miaka mingi nchi hizi mbili zimekuwa na mahusiano katika maeneo mbalimbali kama kilimo, maji pamoja na elimu.

>>>”Misri pia imefanya uwekezaji nchini Tanzania ambapo kwa sasa yapo makampuni manane ya Wamisri ambayo gharama zake zinafika dola Milioni 800 ambazo zimetoa jumla ya ajira 957 kwa Watanzania. Hii inaonesha kwa jinsi gani Tanzania inanufaika na mahusiano haya.” – Dr. Mlima.

ULIPITWA? Press ya kwanza ya Paul Makonda baada ya kumalizana na Wahariri…tazama hapa kwenye video hii!!

You Might Also Like

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

TAGGED: Ayo TV, Rais Magufuli, serikali ya Tanzania, TZA HABARI
Admin August 11, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kikongwe wa miaka 91 kahitimu Shahada ya kwanza, Thailand
Next Article Baada ya Simba, Yanga na Singida, SportPesa wameidhamini club ya Afrika Kusini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?