Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Changamoto zinazofanya watoto wa kike waache shule, mbali na mimba
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > Changamoto zinazofanya watoto wa kike waache shule, mbali na mimba
AyoTV

Changamoto zinazofanya watoto wa kike waache shule, mbali na mimba

June 20, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Mimba, utoro na vifo vimetajwa kuwa ni miongoni mwa changamoto kubwa ambazo mtoto wa kike anakumbana nazo katika safari yake ya kimasomo ambapo wengi wmekuwa wakishindwa katika bila kufikia malengo yao licha ya serikali kujitahidi kuwakwamua.

Mkurugenzi Mtendaji HakiElimu John Kalage amebainisha kuwa licha ya watoto wa kike kuandikishwa shule kwa uwiano sawa na watoto wa kiume lakini wanashindwa kufikia malengo kwa sababu ya changamoto.

>>>”Kuna changamoto nyingi sana ambazo watoto wa kike wanakumbana nazo ambazo zinafanya waache shule. Kwa mfano, katika Takwimu za elimu za mwaka jana Basic Education Statistics ambazo zilikuwa zinatoa taarifa ya mwaka 2015, kuna watoto wa kike takribani 69,067 ambao waliacha shule kwa sababu mbalimbali ikiwemo mimba, ikiwemo utoro, ikiwemo vifo.

“Tukiangalia, tunaona kwamba katika jitihada ambazo serikali imefanya pamoja na wadau mbalimbali kuhakikisha kwamba kunakuwa na fursa sawa au uwiano wa kijinsia imeonekana kwamba katika uandikishaji watoto wa kika na wa kiume wanaandikishwa sawa Shule za Msingi.

“Unapokwenda juu, pale katika udahili uwiano ni moja kwa moja lakini unapokwenda pale juu unaona kwamba idadi ya watoto wa kike inakwenda ikipungua.” – John Kalage.

ULIPITWA? Polisi DSM wazungumzia tukio la Walemavu kupigwa mabomu. Kwenye hii VIDEO kuna kila kitu Jeshi la Polisi imesema kuhusu tukio hilo. Bonyeza PLAY kutazama!!

You Might Also Like

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa

WASHINGTON:Mkurugenzi Mtendaji wa TikTok “kampuni hii sio wakala wa Uchina au nchi nyingine yoyote”.

Wanandoa mahakamani wakidai haki ya kumpatia mtoto wao jina Kuzimu (Hades).

Beijing:Idadi ya watu kwenye mji mkuu wa China, yashuka kwa mara ya kwanza tangu 2017.

Siku ya utabiri wa hali ya hewa duniani.

TAGGED: Ayo TV, TZA HABARI
Millard Ayo June 20, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Hoja za Mawaziri Mwijage na Mwakyembe kuhusu Bajeti Kuu 2017/18
Next Article Good News: Ni kwa waliomaliza Kidato cha Nne na Sita
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?