Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: FULL VIDEO: Alichokizungumza Wema Sepetu nyumbani kwa Godbless Lema
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > FULL VIDEO: Alichokizungumza Wema Sepetu nyumbani kwa Godbless Lema
Mix

FULL VIDEO: Alichokizungumza Wema Sepetu nyumbani kwa Godbless Lema

March 5, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Leo March 5, 2017 Muigizaji Wema Sepetu amefika nyumbani kwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ambaye ameachiwa kwa dhamana kutoka mahabusu siku mbili zilizopita. Wema alikwenda kumjulia hali Mbunge huyu na kuzungumza naye baada ya kujiunga na CHADEMA wiki chache zilizopita.

Kati ya vitu Wema Sepetu amevizungumza ni pamoja na kusema kuwa ameshaamua kuingia moja kwa moja kwenye chama hicho cha upinza na hana mpango wa kuondoka, pia suala la mama yake kukamatwa baada ya kudaiwa kuchukua pesa kwaajili ya kumuuzia nyumba mfanyabiashara Alex Msama.

Kingine ni suala la gari alilopanda kutoka Kenya kumatwa mpakani wakati akiingia Arusha March 4, 2017 huku wakaguzi wakisema gari alilokuwepo Wema halifanani na taarifa walizonazo kwenye mifumo yao ya kumbukumbu.

Nimekuwekea hapa FULL VIDEO bonyeza Play kutazama kila kitu Wema Sepetu amekiongea 

VIDEO: Kauli ya CHADEMA baada ya Wema Sepetu kujiunga na chama hicho, Tazama hapa chini.

You Might Also Like

Hifadhi ya Mpanga Kipengere kusherehekea siku ya Maanguko ya Maji Duniani

Wabunge wafurahishwa na utekelezwaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP

Profesa Mkenda kufungua maonesho ya Nane ya Tafiti na Ubunifu UDSM

Miaka 5 ya ITM, Serikali imeahidi kuadhimisha sekta ya rasilimali watu

Yanga, UNICEF na Serikali zaungana kutoa elimu Ugonjwa wa Kipindupindu

TAGGED: bongomovienews, mastaa wa bongo, Wema Sepetu
Admin March 5, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mtibwa Sugar wameizuia Yanga kuongoza Ligi leo
Next Article VIDEO: Baada ya marufuku ya pombe za viroba, muundo mpya utakaokuja na bei zake
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?