Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Taarifa kuhusu hali ya upatikanaji wa Dawa Tanzania imetolewa
Share
Notification Show More
Latest News
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
December 9, 2023
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa
December 8, 2023
Wadau Morogoro wajitokeza kutoa msaada Hanang, RC aipokea
December 8, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Taarifa kuhusu hali ya upatikanaji wa Dawa Tanzania imetolewa
Top Stories

Taarifa kuhusu hali ya upatikanaji wa Dawa Tanzania imetolewa

March 7, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

Leo March 7, 2018 taarifa kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu amesema hali ya upatikanaji wa dawa nchini Tanzania imeimarika hadi kufikia asilimia 90.

Akizungumza na waandishi wa habari, Bwanakunu amesema kuna upatikanaji wa dawa muhimu takribani 135.

“Upatikanaji wa dawa hizi muhimu kwenye vituo vya kutolea huduma za afya ni kati ya asilimia 85 hadi 98, ambapo dawa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi na malaria ni asilimia 100,” -Bwanakunu

Pia Bwanakunu amesema MSD imetunukiwa Ithibati ya Kimataifa ya Juu ya Ubora inayojulikana kama ISO 90001:2015 ambayo itadumu kwa miaka 3.

“Kampuni ya Kimataifa ya ACM Ltd ilifanya ukaguzi wa ubora wa huduma zinazotolewa na MSD August 2017, ambapo matokea yalithibitisha kuwa huduma tunazotoa za ununuzi, utunzaji na usambazaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara zinafuata miongozo ya Kimataifa,”-Bwanakunu

Mbali na hilo, pia amebainisha kuwa wameanzisha mfuko wenye vifaa vya kujifungulia wakina mama ambao utakuwa na vifaa vyote na utauzwa Shilingi Elfu Kumi na Mbili.

Mbunge alivyoongoza Wananchi kuua Tumbili Jimboni

You Might Also Like

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

Wadau Morogoro wajitokeza kutoa msaada Hanang, RC aipokea

‘Wasomi tumieni Elimu kusaidia Jamii’- Mwenyekiti wa Baraza la Elimu ya Watu wazima

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo March 7, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VideoMPYA: Hii ni nyingine ya kuipokea “Say Bye Bye” Ycee ft Eugy
Next Article Jinsi ugonjwa wa figo unasababisha matatizo ya uzazi kwa wajawazito
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
Top Stories December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
Entertainment December 9, 2023
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa
Top Stories December 8, 2023

You Might also Like

Top Stories

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

December 9, 2023
Top Stories

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

December 9, 2023
Top Stories

Wadau Morogoro wajitokeza kutoa msaada Hanang, RC aipokea

December 8, 2023
Top Stories

‘Wasomi tumieni Elimu kusaidia Jamii’- Mwenyekiti wa Baraza la Elimu ya Watu wazima

December 8, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?