Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Taarifa kuhusu hali ya upatikanaji wa Dawa Tanzania imetolewa
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Taarifa kuhusu hali ya upatikanaji wa Dawa Tanzania imetolewa
Top Stories

Taarifa kuhusu hali ya upatikanaji wa Dawa Tanzania imetolewa

March 7, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

Leo March 7, 2018 taarifa kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu amesema hali ya upatikanaji wa dawa nchini Tanzania imeimarika hadi kufikia asilimia 90.

Akizungumza na waandishi wa habari, Bwanakunu amesema kuna upatikanaji wa dawa muhimu takribani 135.

“Upatikanaji wa dawa hizi muhimu kwenye vituo vya kutolea huduma za afya ni kati ya asilimia 85 hadi 98, ambapo dawa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi na malaria ni asilimia 100,” -Bwanakunu

Pia Bwanakunu amesema MSD imetunukiwa Ithibati ya Kimataifa ya Juu ya Ubora inayojulikana kama ISO 90001:2015 ambayo itadumu kwa miaka 3.

“Kampuni ya Kimataifa ya ACM Ltd ilifanya ukaguzi wa ubora wa huduma zinazotolewa na MSD August 2017, ambapo matokea yalithibitisha kuwa huduma tunazotoa za ununuzi, utunzaji na usambazaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara zinafuata miongozo ya Kimataifa,”-Bwanakunu

Mbali na hilo, pia amebainisha kuwa wameanzisha mfuko wenye vifaa vya kujifungulia wakina mama ambao utakuwa na vifaa vyote na utauzwa Shilingi Elfu Kumi na Mbili.

Mbunge alivyoongoza Wananchi kuua Tumbili Jimboni

You Might Also Like

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo March 7, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VideoMPYA: Hii ni nyingine ya kuipokea “Say Bye Bye” Ycee ft Eugy
Next Article Jinsi ugonjwa wa figo unasababisha matatizo ya uzazi kwa wajawazito
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?