Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Madereva wa serikali nawapiga Pingu, mahakamani, tunawaondolea sifa”-Kamanda Muslim
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Stori Kubwa > “Madereva wa serikali nawapiga Pingu, mahakamani, tunawaondolea sifa”-Kamanda Muslim
Stori KubwaTop Stories

“Madereva wa serikali nawapiga Pingu, mahakamani, tunawaondolea sifa”-Kamanda Muslim

November 14, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Fortunatus Muslim amesema akikamata madereva wa serikali wanaovunja sheria atawapiga Pingu kisha kuwafikisha mahakamani na wakitoka huko atawaondolea sifa.

Kamanda Muslim ameyasema hayo wakati akiwa kwenye Oparesheni ya kuhakikisha barabara zinakuwa salama na kuepusha ajali ambazo sio za lazima, hasa zinazosababishwa na magari ya serikali ambapo madereva wengi wa serikali wanaonekana wapo juu ya sheria.

“Madereva wengi hamtaki kufata sheria wala alama za barabarani mnaendesha mwendokasi hata mkisimamishwa nyie mnawasha taa, muda mwingine viongozi wanakuwa ndani ya hayo hayo magari na wanalipia faini,”amesema.

Kutokana na hatua hiyo, amesema wanajaribu kuyafatilia kwa karibu magari ya serikali kwani hawataki kupoteza wataalamu ambao serikali imekuwa ikiwaandaa kwa muda mrefu.

“Sasa hivi tukiwakamata tunawapiga pingu, tunawaweka ndani kisha mahakamani na ukitoka mahakamani naondoa sifa ya kuendesha magari ya serikali uende kuendesha magari mengine,”amesema.

BAJAJI ILIYOBUNIWA TANZANIA BADO HAIJAREKEBISHWA ‘NIMEKATISHWA TAMAA’

You Might Also Like

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

TAGGED: Ayo TV, habari kubwa, top stories
Mika Ndaba TZA November 14, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article LIVE MAGAZETI: Siri ya Rostam kuteta na JPM, Waliomteka MO Dewji mbaroni Tunduma
Next Article A-Z:Mzee aliyekwenda na kipande cha gazeti Hospitali ya Muhimbili ili atibiwe haraka
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?