Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ubalozi wa India ulivyoguswa na Elimu ya Tanzania
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > Ubalozi wa India ulivyoguswa na Elimu ya Tanzania
AyoTVTop Stories

Ubalozi wa India ulivyoguswa na Elimu ya Tanzania

August 10, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Ubalozi wa India nchini Tanzania leo August 10, 2017 umetoa msaada wa vitabu 1,030,000 vya masomo ya Hesabu, Fizikia, Baiolojia na Kemia kwa ajili ya Kidato cha Tatu hadi Kidato cha Sita kwa lengo la kusaidia uboreshaji wa elimu nchini.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako wakati akipokea msaada huo amesema kuwa vitabu hivyo vitagawanywa kwa kuzingatia shule zenye uhaba mkubwa wa vitabu nchini ili kuchochea ari ya kujifunza masomo ya sayansi.

Aidha, Waziri Ndalichako amesema Serikali ya India hivi karibuni imetoa msaada wa vifaa na wataalamu wa kufunga mitambo kwenye Chuo kipya cha kufundishia masomo ya teknolojia ya habari na mawasiliano ambacho kitatoa mafunzo kwa ngazi ya Masters kwa masomo hayo ikiwa ni pamoja na kupeleka Watanzania kusoma utaalamu huo nchini India.

Balozi wa India nchini Sandip Arya amesema anaamini vitabu hivyo vitaongeza thamani na motisha kwa wanafunzi wa Tanzania kusoma masomo ya sayansi.

Ulipitwa na hii? Kama unataka kuomba mkopo, kuna hii ya kufahamu kutoka RITA

You Might Also Like

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

TAGGED: Ayo TV, habaridaily, serikali ya Tanzania, TZA HABARI
Admin August 10, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mwanamke kaangua kilio baada ya kugundua kapelekwa kwa mke mwenza, ilikuaje?
Next Article UFAFANUZI: Utapeli waibuka ‘Law School of Tanzania’, mmoja akamatwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?