Akizungumza na AyoTV na millardayo.com Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya maendeleo Uvuvi Fatuma amesema wanapanga kufanya sensa ya uvuvi kuanzia mkoani Tanga mpaka Mtwara ambapo wataweza kufahamu idadi ya wavuvi, vyombo vya uvuvi na mahitaji.
Sababu za Wavuvi kuhesabiwa nchi nzima
Leave a comment
Leave a comment