Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mayweather vs McGregor walivyokutana kwa mara ya kwanza
Share
Notification Show More
Latest News
Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.
September 30, 2023
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Mayweather vs McGregor walivyokutana kwa mara ya kwanza
Mix

Mayweather vs McGregor walivyokutana kwa mara ya kwanza

July 12, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Ni tambo na majigambo ambavyo vinatawala sasa baada ya kuthibitishwa kwa pambano linalosubiriwa kwa hamu baina ya Conor McGregor vs Floyd Mayweather ambao kwa mara ya kwanza tangu walipokubaliana kupambana wamekutana uso kwa uso Los Angeles.

Mbele ya mashabiki wapatao 11,000 waliofurika LA’s Staples Center, Mayweather na McGregor walikutana uso kwa uso kwa mara ya kwanza tangu pambano lao lilipothibitishwa huku McGregor akidai atamchapa Mayweather katika round ya nne.

Kitu ambacho kilinogesha zaidi katika kukutana kwao ni kitendo cha Mayweather kuzomewa na mashabiki wake huku McGregor akimdhihaki kwa kumuita mfupi na dhaifu.

>>>”August 26, mtu huyu atakuwa hajitambui, ni mfupi mno, ni dhaifu sana…atakuwa hajitambui ndani ya round ya nne. Hana uzoefu, simhofii.” – McGregor.

Pambano la Conor McGregor vs Floyd Mayweather litapigwa 26 August, T-Mobile Arena, Las Vegas, Marekani.

Mtanzania ambaye akikosa siti ya mbele kwenye daladala hasafiri!!!

You Might Also Like

TPA watoa Elimu kuhusu huduma zao

Mkutano wa IAWP New Zealand wafungwa, CP Kaganda awakaribisha Wajumbe Tanzania

EWURA kutokomeza mafuta ya makopo vijijini

Mradi wa Umeme wa Upepo wa Zanzibar wapamba moto

Joe Biden atuma salamu za pole kwa Mfalme wa Morocco

TAGGED: Boxing, Floyd Mayweather, Pichaz
Millard Ayo July 12, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Alichoongea Peter Msechu kwenye XXL leo kuhusu mwili wake
Next Article Ulinzi aliyoingia nao Wayne Rooney uwanja wa Taifa leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.
Top Stories September 30, 2023
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
Top Stories September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
Top Stories September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
Magazeti September 30, 2023

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023

September 30, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 29, 2023

September 29, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 28, 2023

September 28, 2023
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 28, 2023

September 28, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?