Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mambo matano aliyozungumza Papii Kocha, ‘Niliacha mpenzi nimekuta anamtu”
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Ajali ya Basi yaua watano Singida, Polisi azungumza hali ya Majeruhi
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Mambo matano aliyozungumza Papii Kocha, ‘Niliacha mpenzi nimekuta anamtu”
Habari za Mastaa

Mambo matano aliyozungumza Papii Kocha, ‘Niliacha mpenzi nimekuta anamtu”

March 9, 2018
Share
2 Min Read
SHARE

Msanii Papii Kocha amehojiwa leo kupitia kipindi cha Leo tena ya Clouds FM akiwa pamoja na Baba yake Babu Seya ambapo amezungumza baadhi ya mambo kuhusu wao, wakati wakiwa Gerezani na mpaka walipotoka ikiwa ni miaka 14 tangu wawe uraiani.

Papii amesema kwamba wakati alipokuwa Gerezani alikuwa kwenye kitengo cha washonaji kofia na alijifunza kule kwa sasa anajua vizuri, lakini pia amesema kwamba aliacha mwanamke na mtoto wa miaka 4 lakini saivi katoka kamkuta ana miaka 18 na mwanamke wake aliyemuacha kakuta yupo na mtu mwingine.

“Niliacha mtoto anaitwa Aisha tulikuwa tunaishi pamoja na mama yake wakati naenda jela nilimuacha ana miaka minne, nimemkuta ana miaka 18 wakati nilipokuwa kule alikuwa anakuja japo siyo sana kwani muda mwingi alikuwa shule, mama yake alikuwa anakuja kuniona nilivyotoka mama yake naonana nae ni mzazi mwenzangu nimerudi nimemkuta na mtu wake miaka 14 siyo mchezo.”

“Hiyo hali nimeipokea kawaida maana kifungo chenyewe kilikuwa kinatisha sasa mwingine anaona labda nilikuwa nisitoke so maisha mengine lazima yaendelee hajafanya makosa kwa maamuzi yake maana maisha mengine lazima yaendelee.”

“Nakumbuka show yangu ya mwisho kubwa niliyowahi kuifanya ilikuwa ni Fiesta nyingine watu watakutana nayo kesho pale kingsolomoni.”

“Mimi na mzee wangu tunabahati sana siyo mchezo toka tupo gerezani mpaka sasa, ndugu zangu wananisaidia kwenye kujifunza kutumia mitandao ya kijamii kama Instagram ila whatsapp natumia mwenyewe mitandao mizuri lakini kama ukitumia vibaya inakuwa shida kidogo.”

“Jambo linalonishangaza toka nimetoka ni mwendo kasi sijapanda ila natamani sana kupanda mwendo kasi sijazunguka kabisa lakini ntaenda daraja la kigamboni kupiga picha, kule gerezani umeme ukikatika  hazipiti dakika mbili lazima urudi kuna jenereta”

LULU DIVA “Kapokonywa vitu, Saizi ametelekeza mtoto !!!”

EBITOKE: Kuhusu Mama Ashura kutoonekana, ‘chizi kiziwi’ kam-block

You Might Also Like

Muuzaji mbolea ajinyakulia pikipiki ya YARA

Dkt. Mpango akasirishwa na alieweka mikono mfukoni wakati wa Wimbo wa Taifa

Mwili wa msimamizi wa uchaguzi wakutwa porini

“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro

“Uchaguzi Kenya ni huru na uwazi”

TAGGED: bongofleva news, bongoflevanews, Stori Pekee, TZA HABARI
Victor Kileo TZA March 9, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article LIVE: Rais Magufuli “vyuma vinaweza kubana mpaka ukafa, vizuri wanichukie”
Next Article Tunda aomba wanawake waache wivu na majungu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
Mix August 18, 2022

You Might also Like

Mix

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

August 17, 2022
Mix

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

August 13, 2022
MixTop Stories

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

August 11, 2022
Mix

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

August 9, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?