Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Abromavich katangaza kuiuza Chelsea na pesa zote kutoa msaada
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Abromavich katangaza kuiuza Chelsea na pesa zote kutoa msaada
Sports

Abromavich katangaza kuiuza Chelsea na pesa zote kutoa msaada

March 2, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Bilionea wa Kirusi na mmiliki wa club ya Chelsea ya England Roman Abromavich amethibitisha kuwa anataka kuiuza club hiyo kwa maslahi mapana ya club, wadhamini na wafanyakazi wa club.

“Ningependa kutoa taarifa kuhusiana na tetesi zinazoendelea kwenye vyombo vya habari kuhusiana na umiliki wangu Chelsea, siku zote nimekuwa nikifanya maamuzi kwa sababu ya maslahi ya club, kwa hali inavyoendelea sasa nimeamua kuiuza club (Chelsea)”>>> Roman Abromavich

Roman aliinunua club hiyo 2003 kwa pound milioni 140 (Tsh Bilioni 433) na sasa ameamua kuiza kutokana na vikwazo vilivyowekewa Taifa lake la Urusi, kwa mujibu wa Forbes kwa sasa Chelsea ina thamani ya pound Bilioni 2.4 (Tsh Trilioni 7.4).

Roman katika taarifa iliyotolewa na Chelsea anasema atauza club hiyo na pesa zote alizouza zitaenda katika mfuko maalum wa kusaidia waathirika wa vita nchini Ukraine na wala hana lengo la kujipatia faida.

You Might Also Like

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA March 2, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Katibu Mkuu wa KMC FC arudisha kwa jamii
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 3, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Top Stories

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?