Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Walichoandika watu maarufu TZ kuhusu ajali iliyoua 32 leo
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Walichoandika watu maarufu TZ kuhusu ajali iliyoua 32 leo
Mix

Walichoandika watu maarufu TZ kuhusu ajali iliyoua 32 leo

May 6, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Baada ya ajali iliyoua watu 32 Arusha wakiwemo watoto 29 wa shule ya msingi Lucky Vicent leo May 6, 2017, watu mbalimbali maarufu wameoneshwa kuguswa na taarifa hizo na kuandika hisia zao kupitia mitandao ya kijamii.

https://twitter.com/TunduLissu/status/860824859680677888

Natoa pole kwa familia,ndugu , jamaa na shule ya Lucky Vincent kwa msiba mzito huu uliolipata Taifa letu uliotokana na ajali mbaya pale Karatu. Tumepoteza watoto wetu ambao wazazi wao,ndugu zao na Taifa kwa ujumla liliwategemea . #Kwakuwa mungu wetu anaishi na kumiliki,tuendelee kuziombea familia zilizoguswa na msiba huu, watoto wetu wapumzike kwa Amani.

A post shared by Mwigulu Nchemba (@mwigulunchemba) on May 6, 2017 at 5:27am PDT

Hii habari ya Karatu inasikitisha sana,vitu vibaya ambavyo havipo ndani ya uwezo wetu kuvizuia..Mungu awasitiri na azipe nguvu familia zao

— Choirmaster! (@MwanaFA) May 6, 2017

Hili ni pigo lingine kubwa sana kwa Taifa letu, pole sana kwa wote walioguswa kwa namna moja ama nyingine, Tuendelee kumshukuru Mungu kwa kila jambo na tuwaombee majeruhi wote wapone mapema na tuwaombee marehemu wapumzike kwa Amani, Amen??

A post shared by Professor Jay (@professorjaytz) on May 6, 2017 at 4:03am PDT

Kwa niaba ya uongozi na team nzima ya @wcb_wasafi ningependa nitoe Pole kwa Familia zote ambazo watoto wao walikuwepo kwenye ajali hii….tupo nao pamoja katika kipindi hichi kigumu… Mwenyez Mungu awasaidie wapone haraka wote wenye majeraha na azilaze Roho za Marehem wote Mahali pema Pemponi Amin?

A post shared by Chibu Dangote (@diamondplatnumz) on May 6, 2017 at 6:00am PDT

Mungu walaze Mahali Pema Peponi wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent waliopoteza maisha yao kwenye ajali mbaya ya gari na uwajaalie familia zao nguvu katika kipindi hiki kigumu..Ameen ??

A post shared by A.Y (@aytanzania) on May 6, 2017 at 6:06am PDT

Allah Awastiri Na Kuwasamehe Makosa Yao Wanafunzi Walofariki Kwenye Ajali Ya Basi Huko Karatu… Pole Kwa Ndugu Jamaa Na Marafiki.

— Salama Zalhata Jabir (@EceJay) May 6, 2017

Mungu azilaze mahala pema peponi roho za wadogo zetu na wote waliofariki katika ajali ya Karatu. Bwana alitoa na Bwana ametwaa 😯😯😯

— Masanja (@mkandamizaji) May 6, 2017

Mwenyezi Mungu azipokee roho za marehemu wote na awape Nguvu Wazazi,Walezi na Familia zote zilizopatwa na Msiba huu uliotokea KARATU 🙏

— Elizabeth Michael (@OfficialLizyM) May 6, 2017

VIDEO: Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena bungeni… TAZAMA KWENYE HII VIDEO HAPA CHINI

You Might Also Like

Guterres: Kwenye maadhimisho ya siku ya Maji duniani, “mahitaji yanaongezeka tutunze rasilimali za maji”.

WFP, imetangaza kusitisha kutoa misaada ya kibinadamu mashariki mwa Sudan.

Jenerali muhoozi aahidi msaada kwa Marekani kujenga sanamu ya rapa Tupac Shakur.

Bunge la Uganda lapitisha mapendekezo ya kifungo cha miaka 10 kwa wapenzi wa jinsia moja.

UN: Tahadhari juu ya ongezeko la joto Duniani.

TAGGED: Social media NEWS, TZA HABARI
Admin May 6, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Watu watano waliokamatwa na Polisi Dodoma
Next Article Mume mpya wa Flora afunguka
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?