Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Tamko la ACT Wazalendo kuhusu mikopo elimu ya juu na watoto wa maskini (+video)
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Tamko la ACT Wazalendo kuhusu mikopo elimu ya juu na watoto wa maskini (+video)
Mix

Tamko la ACT Wazalendo kuhusu mikopo elimu ya juu na watoto wa maskini (+video)

November 3, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Wakati suala la mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu likizidi kuchukua sura mpya kila siku, leo November 3 2016 Chama cha ACT Wazalendo kimekutana na waandishi wa habari na kulizungumzia suala hilo  ambapo kimepinga utaratibu wa sasa wa utoaji mikopo wa elimu ya juu ambao wanasema ukiachwa bila kupingwa na kuwakosesha watoto wengi wa maskini washindwe kujiunga na elimu ya juu kwa kukosa mikopo.

Akizungumza na waandishi wa habari katibu wa itikadi, mawasiliano na uenezi wa ACT Wazalendo Ado  shaibu amesema…. ‘takwimu zilizotolewa na bodi ya mikopo wanafunzi takribani 65,000 wenye sifa ya kujiunga na elimu ya juu, ni 20,000 pekee kati yao ndio wamepata mkopo, hali hii ikiachwa, maelfu kwa maelfu ya watoto wa maskini watalazimika kurudi nyumbani kwa kukosa mikopo’

VIDEO: Shirikisho la vyuo vikuu lataja hujuma bodi ya mikopo

 

You Might Also Like

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

Burkina Faso :Vyombo vya habari vya Ufaransa vyafungiwa, baada ya kufanya mahojiano na Al-Qaeda.

Makamu wa Rais wa Marekani aahidi uwekezaji mkubwa barani Afrika alipotua nchini Ghana.

Kenya: Maandamano ya upinzani kuendelea licha ya onyo la polisi wiki iliyopita.

Rais wa Chad atoa msamaha kwa waasi 380,waliofanya mauaji ya baba yake “2021”.

TAGGED: ACT Wazalendo, TZA HABARI
Edwin Kamugisha TZA November 3, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Mambo 6 ya mbunge Goodluck Mlinga kwa serikali ya JPM
Next Article VIDEO: Naibu spika vs Mbowe bungeni baada ya kumuuliza swali Waziri mkuu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?