May 7, 2020 Wakazi wa Iringa wamekumbwa na taharuki baada ya kuona kaburi lililofukiwa na hawajui nani amelichimba kitendo kilicholazimu Jeshi la Polisi kulifukua na kukuta halina kitu.
Ajabu kaburi lakutwa nje ya nyumba, lakutwa tupu (+video)
Leave a comment
Leave a comment