Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ajabu Pete ya Uchumba yagoma kutoka kidoleni kwa binti, “Mume ni Mpemba”
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Ajabu Pete ya Uchumba yagoma kutoka kidoleni kwa binti, “Mume ni Mpemba”
Top Stories

Ajabu Pete ya Uchumba yagoma kutoka kidoleni kwa binti, “Mume ni Mpemba”

January 17, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Binti mwenye umri wa miaka 20 anayefahamika kwa jina la Matha mkazi wa Uswahilini Mkoani Arusha ambayee alivalishwa pete na mpenzi wake kwa lengo la kumuoa imezua gumzo baada ya pete hiyo kugoma kutoka kwenye kidole kwa zaidi ya siku tatu pale alipokuwa akitaka kuitoa baada ya kugombana na mpenzi wake nakuachana naye siku mbili zilizopita

Martha amesema allivalishwa pete hiyo miezi miwili iliyopita na ndani ya siku tatu alikuwa akitaka kuitoa pete hiyo lakini ilishindikana ambapo mpenzi wake alimuambia kwamba asiitoe

baada ya kufika katika soko la Samunge Arusha ilichukua zaidi ya saa tatu bila kutoka ambapo baadaye ilitolewa na kijana aliyefanya maombi nakuiondoa kwenye kidole hicho.

You Might Also Like

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

Edwin TZA January 17, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mahakama imemuhukumu kunyongwa hadi kufa, kukutwa na hatiani kosa la kumuua mkewe
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 18, 2023
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Top Stories

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?