By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Millard AyoMillard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2024 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ajali ya lori la mafuta yasababisha vifo vya watu 15 na kujeruhi 40 Haiti
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Millard AyoMillard Ayo
Font ResizerAa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2024 MILLARD AYO. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Ajali ya lori la mafuta yasababisha vifo vya watu 15 na kujeruhi 40 Haiti
Top Stories

Ajali ya lori la mafuta yasababisha vifo vya watu 15 na kujeruhi 40 Haiti

Published September 16, 2024
Share
1 Min Read
SHARE

Ajali mbaya imetokea Nchini Haiti baada ya Lori la kubeba Mafuta kuanguka na kulipuka, na kusababisha vifo vya Watu zaidi ya 15 huku wengine 40 wakiwa wamejeruhiwa vibaya.

Ajali hiyo ilitokea Jumamosi, Septemba 14, katika Mji wa Bandari wa Miragoane, ulioko kusini mwa Nchi hiyo na mmoja wa waliojeruhiwa vibaya alisafirishwa kwa Helikopta ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya matibabu ya dharura.

Aidha Waziri Mkuu wa Haiti, Garry Conille, alitembelea eneo la tukio na kutoa pole kwa wahanga wa ajali hiyo huku akizungumza akiwa kwenye helikopta katika mji mkuu wa Port-au-Prince, alisema, “Ni tukio la kusikitisha sana, tumeshuhudia maafa makubwa, watu wengi wamejeruhiwa na kuungua vibaya.”

Waathiriwa wengine wa mlipuko huo walisafirishwa hadi Hospitali ya Saint Boniface, mashariki mwa Les Cayes, kwa ajili ya matibabu zaidi, na kulingana na vyombo vya habari vya ndani, mlipuko huo ulitokea wakati Waathiriwa walipokuwa wakikusanya Mafuta kutoka kwenye Lori hilo lililopinduka.

Haiti, Taifa lenye Watu takriban Milioni 12, limekuwa likikabiliwa na uhaba mkubwa wa Mafuta, hali inayochangiwa na mapigano ya magenge yanayovuruga uingizaji wa bidhaa Nchini humo, na hivyo kuongeza changamoto kwa Raia wake.

 

Share This Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Wahouthi wa Yemen watalipa gharama kubwa kwa shambulizi lao kwetu -Netanyahu
Next Article Canada yaongeza marufuku ya kuingia kwa maafisa wa Iran
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 3, 2025
Rais Samia awapaisha wanawake katika sekta ya madini
Hospitali ya Kibong’oto kuwa taasisi ya magonjwa ambukizi
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US
© 2024 MILLARD AYO. All Rights Reserved. Designed by Ayo.

Lost your password?