Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Nahodha wa Simba Jonas Mkude amepata ajali
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Ajali > Nahodha wa Simba Jonas Mkude amepata ajali
Ajali

Nahodha wa Simba Jonas Mkude amepata ajali

June 10, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Siku moja baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Kombe la Azam Sports Federation Cup kati ya Simba dhidi ya Mbao FC katika uwanja wa Jamhuri Dodoma na Simba kuibuka na ushindi wa magoli 2-1, leo May 28 nahodha wa timu hiyo Jonas Mkude ameripotiwa kupata ajali.

                                                                 Jonas Mkude

Mkude ambaye alikuwa katika gari binafsi na baadhi ya watu amepata ajali ya gari akitokea Dodoma akiwa maeneo ya Dumila mkoani Morogoro akiwahi Dar es Salaamkwa ajili ya kambi ya timu ya taifa Taifa Stars.

Kutoka Kushoto ni beki wa Simba Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ shabiki na Said Ndemla kiungo wa Simba SC

Taarifa za awali zinaeleza kuwa Mkude ameumia maeneo ya shingo na amepelekwa hospitali wakati mmoja kati ya abiria waliyokuwemo katika gari hilo akiripotiwa kupoteza maisha millardayo.com inaendelea kufuatilia taarifa hizi na itakuletea hapa.

Unaweza kutazama mahojiano ya Mkurugenzi wa SportPesa na AyoTV baada ya kuingia mkataba.

You Might Also Like

Rubani afariki kwa kung’atwa na Mbu

“Samahani kwani kudanga mimi wa kwanza”- Lulu Diva ndani ya Treni (Video+)

Gari ya abiria yagonga gari ya maiti,yaanguka na kuharibu barabara (+video)

Kijana anusurika kifo kwenye ajali iliyoua watu 11,alikuwa anaenda msibani(+video)

EXCLUSIVE: Mtoto Kagere aliyelia kisa Simba, afunguka “nataka kazi ya Manara” (+video)

TAGGED: Simba Sports Club
Admin June 10, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article EXCLUSIVE: Nape kawajibu wanaohoji kwa nini anaikosoa Serikali
Next Article VIDEO: “Hakuna mtu anafungwa Gabon kwa kumpa ujauzito mwanafunzi” Mzee Hamis
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?