Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ajenga nyumba yenye matairi ili aone view mpya
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Ajenga nyumba yenye matairi ili aone view mpya
Top Stories

Ajenga nyumba yenye matairi ili aone view mpya

October 13, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Mwanamume mmoja Vokin Kusic (72) ameamua kujenga nyumba yenye magurudumu kwa chini baada ya kuchoshwa na malalamiko ya mkewe ambaye kila kukicha amekuwa akitaka view mpya (kile wanachokiona kwa mbele wakiwa kwenye nyumba yao).

Bwana huyo Kusic mkazi wa eneo la Bosnia akizungumza na shirika la habari la Reuters amesema kuwa magurudumu hayo yanamsaidia kuizungusha nyumba yake hali inayomfanya mkewe kupata nafasi ya kuona vitu vingine ambavyo havioni kutokana na kuzibwa na kuta za nyumba yake.

“Nimechoka na malalamiko yake na ukarabati wa mara kwa mara wa nyumba ya familia yetu na nikasema ningemjengea nyumba inayozunguka ili aweze kuizungusha na kuona vitu jinsi anavyotaka.” Alisema bwana huyo.

GAUNI LA BIBI HARUSI LAWAKA MOTO UKUMBINI DAR, GARI LAO HUMMER LAGONGA

You Might Also Like

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa

Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga

Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini

DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’

Silent Ocean Ltd watoa taarifa kwa wateja wao mabadiliko ya Muda wa kazi, fahamu hapa

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA October 13, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Hili ndilo kaburi la hayati Maguful, lajengewa nyumba, Majaliwa afika (video+)
Next Article Gauni la Bi Harusi lawaka moto ukumbini, gari lao Hummer lagonga (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?