Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA 10: Alikiba yupo Johannesburg South Africa… hivi ni vitu unatakiwa kujua
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
December 5, 2023
Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu
December 5, 2023
Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+
December 5, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > PICHA 10: Alikiba yupo Johannesburg South Africa… hivi ni vitu unatakiwa kujua
Habari za Mastaa

PICHA 10: Alikiba yupo Johannesburg South Africa… hivi ni vitu unatakiwa kujua

May 19, 2016
Share
2 Min Read
.
SHARE

Mwimbaji staa wa Bongofleva AliKiba yuko Johannesburg South Africa kutia wino kwenye dili zake jipya ambazo zitaishuhudia bongofleva ikikaa kwenye headlines nyingine 2016.

Kuna mambo mapya saba makubwa ambayo yatatangazwa ndani ya saa 48 kuanzia leo May 19 2016 kutokea hapa Johannesburg ikiwa ni hatua kubwa kwake kuwahi kuipiga kwenye muziki.

.
Johannesburg

Baada tu ya kuwasili Johannesburg Alikiba alialikwa kwenye duka maarufu la kuuza vifaa vya muziki Afrika Kusini linalomilikiwa na raia wa South Africa ambaye ni shabiki wa Alikiba na akampa golden chance ya kuchukua bure kitu chochote atakacho kutoka kwenye hilo duka akiwa ameambatana na Meneja wake Seven na Watangazaji Millard Ayo na B12 wa CloudsFM.

.
Alikiba, meneja wake Seven na Mtangazaji wa XXL  ya  Clouds FM B12
.
Alikiba kwenye mahojiano

3X6A0175

.
Alikiba akipewa maelekezo ndani ya duka hilo la muziki.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

UKITAKA KUMTAZAMA KWENYE VIDEO AKIWA SOUTH AFRICA BONYEZA PLAY KWENYE HII VIDEO HAPA CHINI

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Diamond na Jux wanusurika kifo kwenye lift ya ghorofa

Str8upvibes wameungana na Everthing Dope TZ kumleta mkali wa kwenye ‘Young, Famous and African’

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

TAGGED: Ali Kiba, bongoflevanews
Edwin TZA May 19, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article PICHAZ & VIDEO: Liverpool walivyokubali kuliachia Kombe la Europa League liende Hispania
Next Article Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 19, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
Top Stories December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
Top Stories December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
Sports December 5, 2023
Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu
Sports December 5, 2023

You Might also Like

Top Stories

Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne

December 5, 2023
Sports

Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi

December 5, 2023
Top Stories

Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+

December 5, 2023
Top Stories

Vita dhidi ya watoto ‘kila kukicha’ kusini mwa Gaza-UNICEF

December 5, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?