Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Alichofanya Davido kwa Bilioni 1 alizokusanya siku ya birthday
Share
Notification Show More
Latest News
Sudan:Burhan aonya vita vya Sudan vinaweza kusambaa hadi kwa majirani
September 22, 2023
Tunisia yamwachilia mchora katuni aliye kamatwa kwa michoro inayomdhihaki waziri mkuu
September 22, 2023
Wanafunzi 90 wa shule ya msingi wamelazwa hospitalini baada ya kula keki zenye bangi
September 22, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 22, 2023
September 22, 2023
NEMC yatoa siku saba kwa Uongozi wa kiwanda kichotengeneza Wadudu, harufu kali yalalamikiwa
September 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Alichofanya Davido kwa Bilioni 1 alizokusanya siku ya birthday
Habari za Mastaa

Alichofanya Davido kwa Bilioni 1 alizokusanya siku ya birthday

February 17, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Staa wa wa muziki wa Nigeria  David Adedeji Adeleke, (Davido) ametoa orodha ya vituo vya yatima vya nchini Nigeria ambavyo alivipatia jumla ya Naira 250 Million ambazo ni 1389082546 za Kitanzania.

Taarifa iliyotolewa kwenye ukurasa wa Twitter Davido – alifichua kuwa alitimiza ahadi yake ya mwaka 2021, alipopokea Mamilioni ya Naira katika kipindi cha saa 72 baada ya kuushirikisha umma akaunti yake ya benki kwenye mitandao ya kijamii wakati wa maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa kwake.

“Kama nilivyoahidi, kamati ya wanaume watano ya usamabazaji wa pesa iliwekwa. Tangu ilipozinduliwa, wajumbe wa kamati hii wamefanya kazi bila kuchoka kuhakikisha wanakusanya majina na taarifa zilizopo na kuhakikisha vituo vya yatima. Ninafuraha kutangaza kuwa utoaji wa pesa umekamilika ,” Davido

“Hadi sasa jumla ya Naira 250,000,000 zimetolewa katika vituo 292 vya yatima,” ilifichua taarifa yjake, na kuongeza kuwa, “Katika moyo wa kuwa na uwazi nilidhani ni busara kuwafahamisha wanaoniunga mkono, mashabiki, marafiki na familia yaliyofikiwa kuhusiana na hili.” Davido

“UKIMUIBIA HUYU MZEE UNAZIKWA, MAZIWA YA NYOKA” KIKONGWE ZANZIBAR ASIMULIA MAKUBWA

You Might Also Like

Diamond na Jux wanusurika kifo kwenye lift ya ghorofa

Str8upvibes wameungana na Everthing Dope TZ kumleta mkali wa kwenye ‘Young, Famous and African’

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

TAGGED: habari za mastaa
Pascal Mwakyoma TZA February 17, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mawakili wa Sabaya watoa hoja 14 wataka aachiwe (+video)
Next Article Wasafirishaji bidhaa nje watakiwa kuzingatia viwango
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Sudan:Burhan aonya vita vya Sudan vinaweza kusambaa hadi kwa majirani
Top Stories September 22, 2023
Tunisia yamwachilia mchora katuni aliye kamatwa kwa michoro inayomdhihaki waziri mkuu
Top Stories September 22, 2023
Wanafunzi 90 wa shule ya msingi wamelazwa hospitalini baada ya kula keki zenye bangi
Top Stories September 22, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 22, 2023
Magazeti September 22, 2023

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 21, 2023

September 21, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 19, 2023

September 19, 2023
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 19, 2023

September 19, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 18, 2023

September 18, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?