Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Alichokifanya Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa, Ulega afunguka “Ametoa kwa Yatima”
Share
Notification Show More
Latest News
Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Alichokifanya Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa, Ulega afunguka “Ametoa kwa Yatima”
Top Stories

Alichokifanya Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa, Ulega afunguka “Ametoa kwa Yatima”

January 27, 2023
Share
2 Min Read
.
SHARE

Katika kusheherekea siku yake kuzaliwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan (63) ametoa sadaka kwa vituo vya kulelea Watoto Yatima ikiwemo Msimbazi Center huku wito ukitolewa jamii kupinga vitendo vya ukatili.

Akimuwakilisha Rais Dr.Samia, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema:

“Kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan nipo hapa kukabidhi sadaka kwa ajili ya Kituo cha Watoto Yatima Msimbazi wanaoishi katika mazingira magumu kinachosimamiwa katika Kanisa Katoliki”.

“Kwa niaba ya Mheshimiwa Rais tunasema shukrani nyingi na tunashukuru uongozi wa Kanisa, leo ni siku maalum kwa Mheshimiwa Rais wetu Dr.Samia Suluhu Hassan ametimiza umri wa miaka 63 na katika furaha na bashasha yake ameona ashiriki katika kumtukuza na kumshuruku Mwenyezi Mungu na kutoa kwake ameamua kwa makusudi kutoa katika vituo vya watoto yatima miongoni mwa vituo ameamua kutoa katika Kituo cha Msimbazi Center na Mburahati,”

“Tunaomba Watanzania wote lakini viongozi wa Dini tuendelee kumuombea Rais Samia aendelee kuliongoza taifa letu kwa mafanikio makubwa ambayo kwa hakika tumeyaona ndani ya muda ambao yeye ameliongoza taifa, tumeshuhudia mambo makubwa ikiwemo uboreshwaji wa huduma za kijamii upande wa elimu, afya na shughuli za Kiuchumi tumuombee heri nyingi aendelee kulitunza na kuliongoza taifa hili,”

“Na kama unaona anafanya mambo kwa mifano nyakati zimekuwa ngumu wapo watu wanaofanya vitendo vya ukatili dhidi ya watoto, wakina Mama Rais ni mpenzi wa watu wote ikiwemo watoto na wakina mama, na ndio maana kwa kufanya hivi leo anathibitisha mapenzi yake kwa watoto anawatakia heri nyingi sana,”. Amesema Naibu Waziri Ulega.

 

 

.
.
.
.
.
.

You Might Also Like

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Edwin TZA January 27, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article “Bodaboda acheni kusafirisha Wahamiaji Haramu”- Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Tanga
Next Article Magaya, Gwajima, Waziri Mkenda wasaka dawa dhidi ya Ukatili
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
Top Stories April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
Top Stories April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
Top Stories April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’

April 1, 2023
Top Stories

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

April 1, 2023
Top Stories

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?