Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Aliebakwa na wanaume wanne, abakwa tena na Polisi
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Aliebakwa na wanaume wanne, abakwa tena na Polisi
Top Stories

Aliebakwa na wanaume wanne, abakwa tena na Polisi

May 6, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Msichana wa miaka 13 anayedaiwa kubakwa na Wanaume wanne nchini India, anadaiwa kubakwa tena na Askari Polisi wakati alipokwenda kuomba msaada wa Polisi na kuripoti shambulio la kwanza.

Mamlaka ya Uttar Pradesh ilithibitisha kwamba Polisi huyo alikamatwa kutokana na kitendo chake hicho kilichozua taharuki nchini humo huku wengi wakiwashutumu polisi kwa kusaidia kuendeleza utamaduni wa ukatili wa kijinsia.

Wanaume wanne wamekamatwa kwa madai ya kumteka nyara na kumbaka mtoto huyo mwezi Aprili ambapo inadaiwa walimpeleka katika jimbo jirani la Madhya Pradesh ambako alibakwa na kuhifadhiwa kwa siku 4.

Ofisi ya Kitaifa ya rekodi za uhalifu nchini India inasema kuna zaidi ya kesi 28,000 za madai ya unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya Watoto nchini humo kwa mwaka 2020 pekee lakini Wanaharakati wanaamini kuwa idadi halisi ni kubwa zaidi.

UKWELI NYAMA YA MBWA KUUZWA MOMBO, MKATA, ALIEKAMATWA HEDARU

You Might Also Like

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA May 6, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article “Nikishinda Urais kazi siku 4, bangi ruhusa” Mgombea Kenya
Next Article Rais Samia amteua Kitenge Katibu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Top Stories

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?