Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ali Kiba kayajibu matano, ishu ya beef, ubalozi wake, Tuzo sita, yeye na Diamond..
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
February 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023
February 3, 2023
Breaking: Sheikh Mkuu DSM atumbuliwa, sakata la Dr Mwaka na mkewe
February 2, 2023
Mason Greenwood afutiwa mashtaka
February 2, 2023
Tanzania Ligi namba 5 kwa Ubora Afrika
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Ali Kiba kayajibu matano, ishu ya beef, ubalozi wake, Tuzo sita, yeye na Diamond..
Habari za Mastaa

Ali Kiba kayajibu matano, ishu ya beef, ubalozi wake, Tuzo sita, yeye na Diamond..

July 9, 2015
Share
2 Min Read
SHARE

CFM II

Staa wa hits za ‘Cheketua‘ na ‘Mwana’ ambazo zilimrudisha kwa nguvu kwenye muziki TZ, Ali Kiba alikuwa kwenye show ya XXL leo July 09 2015, kuna vitu vingi vinaendelea, leo kapata nafasi kuyajibu haya matano.

CFM
Ali Kiba na B12 kwenye XXL leo mchana.

Hivi ndio alivyoupata mchongo wa kuwa Balozi wa Kampeni ya WildAid >>> “Wanaangalia mtu ambaye anaeleweka, anayeweza kuwaambia watu wakaelewa jinsi ya kuzuia ujangili.. Lupita ni mfano, tayari amekuwa staa mkubwa sana watu wengi wanamuangalia”

Ali Kiba
Ali Kiba akisalimiana na Lupita Nyong’o

Haya ndio majibu yake kuhusu sababu za kuamua kufanya daladala tour >>> “Nina imani kuna wanaonipenda na hawajawahi kuniona.. walipiga kura Tuzo za Watu, KTMA.. nilianzia Mnazi Mmoja mpaka Mtoni Mtongani, tukaenda Temeke, tukaja Ilala, Magomeni, Ubungo na Manzese mpaka Makumbusho ”

Maswali yalioulizwa zaidi na watu ndani ya daladala yalihusu nini? >>> “Iliulizwa kama nina beef na Diamond, pongezi za tuzo.. Watu walifurahishwa na tour yangu, hawakutegemea”

Screen-Shot-2015-06-24-at-3.02.57-PM (1)
Ali Kiba kwenye Daladala Tour

Alitarajia kupata Tuzo zote sita KTMA 2015? >>> “Yeah… nilitarajia itakuwa hivyo, nafanya kazi nzuri na kutegemea watu watafurahia.. Naona nastahili Tuzo zote”

Ni kweli hamsapoti Diamond kwenye MTV? >>> “Nilipotaka kutoa video yangu wasanii wengi niliwatumia picha walisapoti na wengine hawakunisapoti.. Mimi ni balozi ninayewakilisha Tanzania, ni kubwa sana na mimi nipo watu wanachukulia poa kwanini?“>>> Ali Kiba.

KIBA

“Mimi sijalipiza kisasi, wengi wananitumia kazi zao nawasapoti.. Kwa ujumla Tanzania kuna tabia ya kutopeana support, lazima tukae pamoja watu wote angalau tuwe na semina tuwe Wazalendo… Mengi tumeyaona, Marehemu Kanumba alikosea kidogo kwenye BBA watu wakatafuta sehemu ndogo aliyokosea wakaandika”>>> Ali Kiba.

Sauti ya Ali Kiba iko haoa akijibu maswali yote kwenye XXL @CloudsFM

Unahitaji chochote nachokipata kikufikie? jiunge na mimi kwenye Twitter, Facebook na Instagram kwa kubonyeza hapa >>> Twitter Insta FB na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos ili kila video ya AyoTV ikufikie.

You Might Also Like

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

Audiomack yazindua kampeni ya ‘Ngoma juu ya ngoma’ kukuza muziki wa kitanzania

Exclusive: Con boi kafunguka hana mawasiliano na Lunya,Quick Rocka, akumbuka kifo cha mpenzi wake

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

TAGGED: Ali Kiba
Millard Ayo July 9, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Magari 10 ya gharama ya mastaa wa soka Ulaya 2015…(Pichaz)
Next Article Hii ni Hotuba yote ya Rais Kikwete toka Dodoma July 09 2015 na nukuu ya kile alichokisema
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
Magazeti February 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023
Magazeti February 3, 2023
Breaking: Sheikh Mkuu DSM atumbuliwa, sakata la Dr Mwaka na mkewe
Top Stories February 2, 2023
Mason Greenwood afutiwa mashtaka
Sports February 2, 2023

You Might also Like

Sports

Tanzania Ligi namba 5 kwa Ubora Afrika

February 2, 2023
Sports

Mchezaji mwenye umri mkubwa (55) asaini Ureno

February 2, 2023
Sports

PSG wachukizwa na Chelsea kukwamisha usajili wa Ziyech

February 1, 2023
Sports

Enzo avunja rekodi ya Uingereza usajili

February 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?