Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Vitu 11 vya kufahamu kutoka kwenye Amplifaya February 1 2017
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Amplifaya Top10 > Vitu 11 vya kufahamu kutoka kwenye Amplifaya February 1 2017
Amplifaya Top10Habari za Mastaa

Vitu 11 vya kufahamu kutoka kwenye Amplifaya February 1 2017

February 2, 2017
Share
0 Min Read
SHARE

Amplifaya ni show ya Radio ambayo husikika kila saa moja jioni Jumatatu mpaka Ijumaa kupitia CloudsFM ikikuhabarisha habari 10 kubwa za siku kutokea kwenye area mbalimbali ambapo hizi ni za February 1 2017

#AmplifayaUPDATES DC Kigamboni athibitisha kushushwa vyeo Wakuu wawili shule zilizofeli FORM IV, imegundulika mmoja alipewa cheo kimagumashi pic.twitter.com/djS2EJNx8a

— millardayo (@millardayo) February 1, 2017

#AmplifayaUPDATES DC Kigamboni asema moja ya shule zilizofeli zaidi FORM IV Dsm (Somangila) kulikua na mgogoro wa uongozi, Walimu 7 walihama pic.twitter.com/36gJAEKudn

— millardayo (@millardayo) February 1, 2017

#AmplifayaUPDATES Msafirishaji Mkongwe wa Wanyama TZ asema hajawahi kusafirisha kama hii ya Mtoto wa Mfalme kuweka Ndege ktk siti za abiria pic.twitter.com/AN6wB8BXTe

— millardayo (@millardayo) February 1, 2017

#AmplifayaUPDATES Mmiliki wa Kampuni ya Majeneza Moshi asema ni kweli wamepunguza bei kwa 30% kwa yeyote ataejinunulia Jeneza kabla ya kifo. pic.twitter.com/pJBH7choKO

— millardayo (@millardayo) February 1, 2017

#AmplifayaUPDATES Mmiliki wa kampuni ya Majeneza Moshi iliyopunguza bei 30% kwa atakaejinunulia Jeneza asema 'hatujakosea, hatuui watu' pic.twitter.com/EH8hgM422w

— millardayo (@millardayo) February 1, 2017

#AmplifayaUPDATES Mbunge wa Mbeya Mjini J.Mbilinyi ahoji bungeni >>'Ni nani aliyeamuru wale Walimu waliopiga Mwanafunzi Mbeya Day waachiwe?' pic.twitter.com/8mbRfXEFoX

— millardayo (@millardayo) February 1, 2017

#AmplifayaUPDATES 'Serikali ilijenga majengo mengi UDOM, badala ya kuyaacha yaharibike, yatatumika na Wizara zinazohamia Dom'-Waziri Jenista pic.twitter.com/65nqY0GwJr

— millardayo (@millardayo) February 1, 2017

#AmplifayaUPDATES 'Shughuli za Wizara zilizohamia kwenye majengo ya UDOM haziingiliani kivyovyote na shughuli za masomo UDOM' -Jenista pic.twitter.com/AgEsVLsqAS

— millardayo (@millardayo) February 1, 2017

#AmplifayaUPDATES Inaripotiwa kwamba Emmanuel Okwi amejiunga na klabu yake ya zamani ya Sports Club Villa Uganda kwa miezi mitatu. pic.twitter.com/szfE0yeEiw

— millardayo (@millardayo) February 1, 2017

#AmplifayaUPDATES Mtanzania Hilda aliyeanzisha Group za Whatsapp kukomboa Wanawake na sasa wako zaidi ya 2000, mwenye ujuzi anafundisha bure pic.twitter.com/OQ3Tr498tB

— millardayo (@millardayo) February 1, 2017

VIDEO: Wema Sepetu anazo sababu za kufuta picha zote kwenye Instagram yake, EXCLUSIVE ya AYO TV itazame hapa chini.

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: TZA HABARI
Admin February 2, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Misri wamepelekwa fainali ya kwa jitihada za mchezaji mkongwe kuliko wote AFCON 2017
Next Article VIDEO: Mbunge akihoji bungeni ahadi ya Mwl. Nyerere ya miaka 61 iliyopita
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?