Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Vitu 4 vilivyoongelewa na Mwigulu Nchemba na Ummy Mwalimu baada ya kufika machinjio ya Vingunguti Dar.
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Vitu 4 vilivyoongelewa na Mwigulu Nchemba na Ummy Mwalimu baada ya kufika machinjio ya Vingunguti Dar.
Mix

Vitu 4 vilivyoongelewa na Mwigulu Nchemba na Ummy Mwalimu baada ya kufika machinjio ya Vingunguti Dar.

April 17, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

April 17 2016 Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji Mwigulu Nchemba aliongozana na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu mpaka kwenye machinjio ya Vingunguti Dar baada ya machinjio hayo kufungiwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA kwa kutozingatia usalama na usafi wa maeneo ya machinjio.

Baada ya kikao cha muda mfupi kilichofanyika kwenye machinjio  ya Vingunguti Waziri Nchemba aliyaongea haya ‘Kwanza kuna mambo kadhaa tumeyaona ambayo TFDA wamefanya kazi nzuri sana nawapongeza sana wamebaini ukosefu wa maji, na pia visu vinavyotumika kuchinjia vinasafishwa mahali ambapo sio salama vinasafishwa bafuni‘>>>Mwigulu Nchemba Waziri wa  Kilimo Uvuvi na Ufugaji

‘Sasa tulichokubaliana leo ni kwamba watengeneze baadhi ya sehemu ambazo zinawezekana kwasababu vifaa wanavyo na pili  kati ya leo au kesho waweke zile mashine za kuning’inizia ngo’mbe wakati wa kuchuna , na la tatu warekebishe mabomba ya maji hapa machinjioni‘>>>Waziri wa  Kilimo Uvuvi na Ufugaji Mwigulu Nchemba

‘Kadri tunavyotaka nyama iwepo katika mabucha yetu wananchi wapate nyama kwa bei nafuu lakini lazima tuhakikishe hiyo nyama ni salama na  imechinjwa katika mazingira safi na salama kwa ajili ya matumizi ya binadamu, sisi kama wizara ya afya ni wajibu wetu kuhakikisha kanuni za afya na usafi zinazingatiwa’ >>>Waziri wa Afya Ummy Mwalimu

”Kwa hiyo nataka kuwatoa hofu watanzania kuwa nyama itakayokuwa kwenye mabucha itakuwa ni nyama salama lakini tutahakikisha tunaendelea kulinda viwango vya nyama ili wasiweze kupata madhara ya kiafya‘>>>Waziri wa Afya Ummy Mwalimu

3X6A2928

3X6A2933
Sehemu ya mabomba ya maji

3X6A2934

3X6A2937

3X6A2939

3X6A2945
Sehemu ya kunin’ginizia ng’ombe wakati wa kuchuna

3X6A2946

3X6A2948

3X6A2952

3X6A2954
Kutoka kushoto ni Mwigulu Nchemba, Ummy Mwalimu na Mbunge wa Jimbo la Segerea

3X6A2956

3X6A2958

3X6A2961

3X6A2962

3X6A2963

3X6A2905

3X6A2906

3X6A2907

3X6A2920

3X6A2925

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE 

You Might Also Like

Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

TAGGED: Pichaz
Millard Ayo April 17, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ajali aliyoipata Msanii Tunda Man Iringa April 17,Haya ni maelezo ya mwanzo(+Picha&Audio)..
Next Article Baada ya ushindi wa mechi zaidi ya 6 mfululizo, April 17 Simba imepokea kipigo dhidi ya Toto Africans
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?