Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Watoto wa Mwalimu Nyerere wapigana vikumbo ubunge Butiama
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Watoto wa Mwalimu Nyerere wapigana vikumbo ubunge Butiama
MixTop Stories

Watoto wa Mwalimu Nyerere wapigana vikumbo ubunge Butiama

July 15, 2020
Share
1 Min Read
SHARE

Wanafamilia watatu wa familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere wamejitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge Jimbo la Butiama mkoani Mara, Wanafamilia hao ni Makongoro Nyerere na Madaraka Nyerere ambao ni mtu na mdogo wake na watatu ni Jacton ambaye ni mtoto wa kaka wa Mwalimu Nyerere.

Akizungumzia tukio hilo ambalo si la kawaida sana, Katibu wa CCM Wilaya ya Butiama, Moza Abdallah amesema ndugu hao wametumia haki yao ya kikatiba ya kugombea ndani ya chama.

Ameongeza kuwa pamoja na wanafamilia hao kiwa miongoni mwa waliojitokeza kuchukua fomu kuomba ridhaa ya chama hicho, lakini ukweli ni kwamba anatakiwa mtu mmoja pekee ambae atasimama katika jimbo hilo kwa ajili ya kukiwakilisha chama kwenye uchaguzi mkuu baada ya taratibu zote kufuatwa.

CHANZO: TBC

You Might Also Like

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

TAGGED: habaridaily, top stories
Rama Mwelondo TZA July 15, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kutoka Zanzibar mapokezi ya Mgombea Urais Mwinyi (+picha10)
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 16, 2020
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?