Zaidi ya watu 2,000 wanahofiwa kufunikwa kwenye maporomoko ya udongo New Guinea
Zaidi ya watu 2,000 wanahofiwa kuzikwa katika maporomoko ya udongo ya Papua…
Watanzania waaswa kutumia fursa ya msaada wa kisheria kutatua migogoro
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaasa…
Mradi wa maji Same – Mwanga 90% ya utekelezaji, Aweso awasha pump kusukuma maji kwenda tenki la mwisho.
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso ametembelea na kukagua mradi wa maji…
Je, mustakabali wa Erik ten Hag ndani ya Man Utd umehakikishiwa baada ya ushindi wa FA?
Nyota wa Manchester United walioshinda Kombe la FA wameahidi "kufanikisha mambo makubwa"…
Amnesty inataka uchunguzi wa uhalifu wa kivita wa mashambulizi ya Israel huko Gaza
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Mahakama ya…
Maombi ya Amani,siku ya Ukumbusho 2024 Marekani
Jumatatu ya Tarehe 27 Mei 2024 inatambuliwa kuwa Siku ya Kumbukumbu kote…
Marufuku mikopo kausha damu wilayani Mbogwe
Mkuu wa wilaya ya Mbogwe Bi. Sakina Mohamed amepiga Marufuku Mikopo umiza…
Shirika na waandishi wa habari wasio na mipaka,wawasilisha kesi ICC kuhusu vifo vya waandishi wa habari huko Gaza
Shirika la uangalizi wa vyombo vya habari la Reporters Without Borders (RSF)…
Daktari na mmiliki wa hospitali isiyo na leseni India akamatwa baada ya watoto 6 wachanga walipokufa moto
Polisi wa India walisema Jumatatu walimkamata daktari na mmiliki wa hospitali isiyo…
Wafanyabiashara toeni ushirikiano wakutosha kwa timu ya uelimishaji kutoka TRA
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Batilda Buriani amewataka wafanyabiashara kutoa ushirikiano…