Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Aliyekutwa na nyara za Serikali Airport kafikishwa Mahakamani leo
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Aliyekutwa na nyara za Serikali Airport kafikishwa Mahakamani leo
Top Stories

Aliyekutwa na nyara za Serikali Airport kafikishwa Mahakamani leo

October 13, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Raia wa Denmark, Ricki Thomason mwenye umri wa miaka 46, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo October 13, 2017 akikabiliwa na kosa la kukutwa na nyara ya Serikali ambayo ni Fuvu la Nyumbu lenye thamani ya Tsh. Milioni 1.

Raia huyo amesomewa kosa lake na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mutalemwa Kishenyi mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Cyprian Mkeha.

Kishenyi amedai mshtakiwa anakabiliwa na kosa moja la kukutwa na nyara ya Serikali ambayo ni Fuvu la Nyumbu likiwa na thamani ya Tsh. Milioni 1,460,108.

Inadaiwa mshtakiwa alitenda kosa hilo katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Julius Nyerere, October 9, 2017 bila kuwa na kibali cha Mkurugenzi wa Wanyama Pori.

Baada ya kumsomea kosa hilo, Kishenyi amedai upelelezi wa kesi hiyo umekamilika na anaomba tarehe nyingine kwa ajili ya kumsomea mshtakiwa maelezo ya awali (PH).

Hata hivyo, Hakimu Mkeha alimpa masharti ya dhamana mshtakiwa huyo, ambapo ametakiwa kuwa na mdhamini mmoja atakayesaini bondi ya Tsh. Milioni 20, pia awasilishe hati yake ya kusafiria (Passport).

Kesi hiyo imeahirishwa hadi October 16/2017.

MWANZA: Akamatwa akijifanya mtumishi wa Jiji na kukusanya ushuru

 

You Might Also Like

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

TAGGED: Mahakamani, TZA HABARI
Millard Ayo October 13, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article MAGEREZA yatekeleza agizo la MAHAKAMA kuhusu Harbinder Sethi
Next Article ZANZIBAR! Kilele Mbio za Mwenge itakuwa katika Uwanja huu (+Picha 17)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?