Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kuandaa semina ya siku moja kwa wabunge wote ili kuwaelimisha juu ya athari za ongezeko la watu na mifugo, pamoja na shughuli nyingine za binadamu katika hifadhi ya Ngorongoro.
SPIKA WA BUNGE ‘TULIA’ ALITAKA GAZETI LA RAIA MWEMA KUJITAFAKARI
KIKWETE ASHANGAZWA NA UTENDAJI KAZI WA RAIS SAMIA, AMTAJA HAYATI MAGUFULI “UONGOZI WAKE NI MZURI”