Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Baada ya taarifa ya Simba, Morrison atoa tamko ‘inaweza athiri kiwango changu’
Share
Notification Show More
Latest News
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Baada ya taarifa ya Simba, Morrison atoa tamko ‘inaweza athiri kiwango changu’
Sports

Baada ya taarifa ya Simba, Morrison atoa tamko ‘inaweza athiri kiwango changu’

May 13, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Baada ya Simba SC kutoa taarifa ya kumpa mapumziko mchezaji wake Bernard Morrison.

Sasa Mchezaji huyo ameibuka na kuyaandika haya…’“Kwa moyo wa dhati napenda kutangaza kuwa nitakuwa nje ya timu kwa kipindi chote cha msimu kilichosalia kutokana na matatizo ya kifamilia ambayo yako nje ya uwezo wangu na yangeweza kuathiri hata kiwango changu kama nitaendelea kucheza, mengi yanatakiwa kusemwa kuhusiana na hili lakini ninachoweza ni kuitakia klabu kila la kheri katika kipindi chetu cha msimu kilichosalia, natumaini na kusali matatizo haya yawezekutatulika haraka iwezekanavyo ili niweze kurejea tena katika timu”- Morrison

Kwa stori kamili unaweza ukabonyeza play kufahamu zaidi kuhusu kauli ya Morrison baada ya tamko la Simba SC.

MANARA AMUOMBA RADHI MORRISON “SAMAHANI TULIPOKUKOSEA, TUNAMSINGIZIA TU, NI MCHESHI”

You Might Also Like

Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Edwin TZA May 13, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Simba SC yamuweka njia panda Morrson, kwa hili ndio basi tena
Next Article Picha: Baba Levo na Mwijaku watangazwa rasmi kuwa Mabalozi Silent Ocean
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?