Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Baba amshitaki binti yake Kutoacha Chuo Kikuu Ili Kumtunza baada ya kupata ajali.
Share
Notification Show More
Latest News
Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito
May 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Baba amshitaki binti yake Kutoacha Chuo Kikuu Ili Kumtunza baada ya kupata ajali.
Top Stories

Baba amshitaki binti yake Kutoacha Chuo Kikuu Ili Kumtunza baada ya kupata ajali.

March 2, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Binti huyo alishtakiwa na baba yake baada ya kuripotiwa kuwa hakuacha chuo kikuu ili kumtunza baada ya kujeruhiwa katika ajali ya gari huko Puyang, China.

Mwanamume huyo, aliyejulikana kama Zhang, aliwasiliana na binti yake mara nyingi baada ya kupata ajali ya gari na kujaribu kumshawishi kuacha chuo kikuu ili kumtunza lakini baada ya majaribio kadhaa, mwanamke huyo block nambari ya baba yake ndipo baba akawasilisha malalamiko katika mahakama.

Ombi hilo, aliomba yuan 1,500 ($216) sawa na (tsh laki 4)kwa mwezi kwani Kifungu cha 26 cha Sheria ya Kiraia ya China kinawataka watu wazima wote kuwa na wajibu kamili wa kusaidia na kuwalinda wazazi wao, kama ilivyoripotiwa na Oddity Central.

Zhang alisema alitaka binti yake kusimamisha elimu yake na kumsaidia na binti huyo alielezea kwamba mahitaji yake ya chuo kikuu hayamruhusu kuacha kila kitu haraka na kumsaidia kwani ana ndugu wengine wawili ambao wanaweza kusaidia.

“Sina wakati wa kurudi kumtunza na zaidi ya hayo, nina kaka wawili wakubwa ambao wangeweza kumtunza, kwa hiyo ni lazima nirudi shule nili block nambari ya simu ya baba yangu, lakini kwa sababu tu jumbe zake zote zilikuwa za malalamiko, jambo ambalo lilinifanya niwe na wasiwasi na kuogopa zaidi kuliko kawaida zingefanya nishindwe kusoma na kufanya mitihani nili hisi nimechoka hata zaidi kiakili na kimwili.” Alisema binti huyo akiwa mahakamani hapo.

Maafisa wa mahakama walisikitikia hali ya binti huyo kwa kuwa walibaini kuwa bado alikuwa shuleni na aliweza kumudu malipo ya matibabu na matumizi Lakini walimwambia anapaswa kuwa na uangalizi zaidi kwa hali ya baba yake bila kuacha masomo yake.

Baba yake bado anapanga kukata rufaa!

You Might Also Like

Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA March 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 2, 2023
Next Article Justin Bieber atangaza kuahirisha Justice World Tour “ kiafya sipo vizuri”.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito
Top Stories May 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito

May 30, 2023
Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?