Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: BREAKING NEWS: JPM katoa msamaha kwa Babu Seya na Familia yake
Share
Notification Show More
Latest News
Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
August 8, 2022
International Marathon yaacha historia Zanzibar
August 7, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Breaking News > BREAKING NEWS: JPM katoa msamaha kwa Babu Seya na Familia yake
Breaking News

BREAKING NEWS: JPM katoa msamaha kwa Babu Seya na Familia yake

December 9, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

December 9 2017 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza msamaha kwa Familia ya Babu Seya, msamaha huo ameutoa wakati wa maadhimisho ya sikukuu  ya Uhuru Mjini Dodoma Leo

”Kutokana na ibara ya 45 ya Katiba nimeamua kumsamehe familia ya  Nguza Viking jina lingine anaitwa Babu Seya na mwanae PapiiKocha na wao naomba kuanzia leo waachiwe huru”-Rais JPM

Babu Seya ( Kulia) Papi Kocha (Kushoto)

Mbali na Familia ya Babu Seya Rais Magufuli  ametangaza msamaha kwa wafungwa 8,157 na ambao wanatakiwa kutolewa siku ya leo ni 1,828 ikiwemo familia ya Babu Seya

BREAKING: JPM ameagiza kuachiwa huru kwa Babu Seya na Familia yake

 

 

You Might Also Like

BREAKING: Mkuu wa Wilaya ya Mtwara amefariki Dunia “alikuwa na changamoto ya upumuaji”

BREAKING: Usiku huu Mbunge Lema akamatwa na Polisi apelekwa Singida

‘Wanasema alikuwa Modo leo ni mwanasiasa inahusu…? – DC JOKATE

BREAKING: Rais Magufuli amtumbua Balozi wa Tanzania nchini Canada

LIVE: Ibada ya kuaga mwili wa Mtanzangaji Isaac Gamba Hospitali ya Lugalo DSM

TAGGED: story kubwa
Admin December 9, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article LIVE: Rais JPM akihutubia katika Maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru Tanzania Bara
Next Article Baada ya JPM kutoa msamaha kwa babu Seya, Cheni, Mh Temba na wengine wameandika
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
Mix August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
Top Stories August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
Mix August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
Magazeti August 8, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 7, 2022

August 7, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 6, 2022

August 6, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 5, 2022

August 5, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 4, 2022

August 4, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?