Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: AUDIO:’Kuchezea elimu ya Tanzania ni hatari zaidi ya dawa za kulevya’ -Hussein Bashe
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > AUDIO:’Kuchezea elimu ya Tanzania ni hatari zaidi ya dawa za kulevya’ -Hussein Bashe
Mix

AUDIO:’Kuchezea elimu ya Tanzania ni hatari zaidi ya dawa za kulevya’ -Hussein Bashe

February 25, 2017
Share
3 Min Read
SHARE

Moja ya habari kubwa hivi sasa Tanzania ni pamoja na hatua ya Serikali kupitia TCU kutoa orodha ya majina ya baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wasio na sifa za kuwa wanafunzi wa vyuo.

Badhi ya watu na taasisi mbalimbali kikiwemo chuo kuku Dar es salaam UDSM kilichoikataa orodha hiyo. Kwenye Exclusive interview ya Ayo TV na millardayo.com tunaye Mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe ambaye na yeye ametoa ya moyoni baada ya kuiona taarifa hiyo huku akisisitiza kuwa Serikali imefanya makosa.

Bashe amesema…>>>’Tunatatizo kubwa la mfumo wa elimu kwenye nchi yetu, toka nimekuwa na ufahamu na kufuatilia mambo nimeona kila Waziri amekuwa akija na movie yake, ukijiuliza swali nani aliwadahili hawa wanafunzi jibu ni TCU‘ –Hussein Bashe

‘Leo mwanafunzi amekaa chuoni na katumia gharama nyingi achilia mbali matarajio yake aliyojiwekea na familia yake alafu unaenda kuzima mshumaa wake, tujiulize mara ya kwanza wakati wanadahiliwa walikuwa na sifa alafu sasa hawana sifa?‘ –Hussein Bashe

‘Hii inatafsiri kwamba mfumo wetu wa elimu unatatizo kubwa lakini la pili wakati unawaadhibu wanafunzi hao kwa kuwaita hawana sifa aliyewadahili umewachukulia hatua gani? leo chuo kikuu Dar es salaam wametofautiana na TCU na umeona‘ –Hussein Bashe

‘Mimi nasema kama Mbunge kwamba hili jambo la kuchezea elimu ya nchi hii ni hatari mno kuliko hata dawa za kulevya, kuifanya elimu hii kama ni sehemu ya kuifanyia majaribio ni hatari‘ –Hussein Bashe

‘Tumekuwa ni watu wa kusukumwa na matukio, Moja kati ya mtu aliyekuwa nilikuwa na matarajio makubwa sana kwenye nchi hii ni Profesa Joyce Ndalichako lakini siku zinavyokwenda naona kama anashusha viwango vya elimu ya Tanzania huyu ni mama ninayemuheshimu lakini kwa hili hatuwezi kucheza na elimu ya nchi hii‘ –Hussein Bashe

‘Mimi nataka nitumie fursa hii kumweleza Rais Magufuli kwamba anakila sababu ya kuwatazama watendaji wake aliyowaamini, anaweza kuwa na nia njema pamoja lakini chakutazama ni je, amewapa watu sahihi kwenye hizo nafasi?‘ –Hussein Bashe

Vipi kuhusu TCU kudaiwa kutaja majina ya wanafunzi ambao hawapo vyuoni? Bashe amesema>>’Hii inaleta tafsiri kwamba ukurupukaji uliopo ndani ya Serikali, hakuna lugha nyingine unaweza tumia na suala la kudahili ni kazi ya vyuo na TCU wao wanafanya kazi ya udalali na ni mambo ya kukurupuka‘ –Hussein Bashe

FULL VIDEO: Wema Sepetu alivyotangaza kuhamia CHADEMA, tazama kila kitu kwenye hii video hapa chini

 

You Might Also Like

EACOP yafanya jambo kulinda makaburi ya kimila Igunga

Wataalam wa maji watoa wito wa kukabiliana na uhaba wa maji

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

AudioMPYA: Joshua Ngelendo anakualika kusikiliza “Jemedari”

TAGGED: habari daily, matukio
Admin February 25, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Maneno ya Nsajigwa kwa Wachezaji wa Simba vs Yanga Feb 25 (+Video)
Next Article Kuelekea Simba na Yanga umemsikia Haji Manara wa Simba?…… (+Video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?