Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Bashungwa ateua Kamati Serengeti Music Festival
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Burudani > Bashungwa ateua Kamati Serengeti Music Festival
Burudani

Bashungwa ateua Kamati Serengeti Music Festival

January 2, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amefanya uteuzi maalumu wa wajumbe 12 wa kamati ya maandalizi ya Tamasha la Serengeti Music Festival.

Tamasha hilo maalumu linaandaliwa na Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia wizara ya Sanaa, kwa ajili ya kuziunga mkono jitihada za wasanii wa muziki wa nchini ikiwa ni pamoja na kuinadi sekta ya utalii kwa kuwaleta pamoja na kutoa burudani kwa mashabiki wao katika maeneo mbalimbali ambayo Tamasha hilo litapita.

Miongoni mwa wajumbe walioteuliwa ni pamoja na watangazaji mahiri wa vipindi vya burudani Bdozen , Mammybaby pamoja na Lillommy.

You Might Also Like

EXCLUSIVE: Alikiba akanusha kuepo kwenye Album ya Davido, aingia kwenye kilimo

Miss Higher Learning imerudi Tena 2023, usaili February 11

Picha: CRDB wazindua huduma ya Premier Banking nchini Burundi

Picha: Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Burundi aipongeza benki ya CRDB ya Burundi kwa Miaka 10 ya Mafanikio

Soggy Dog, Goodluck, Saida kuinogesha Senene Festival Kagera

TAGGED: burudani
Pascal Mwakyoma TZA January 2, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article 2021 Davido ameingiza Bilioni 51
Next Article Moto wazuka Bungeni Afrika Kusini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?