Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Bendi tano za muziki wa dansi kukutana TCC Club Dar
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Bendi tano za muziki wa dansi kukutana TCC Club Dar
Habari za Mastaa

Bendi tano za muziki wa dansi kukutana TCC Club Dar

May 27, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Tamasha kubwa la muziki wa dansi nchini linatarajiwa kutimua vumbi jijini Dar kesho Jumamosi likishirikisha bendi tano za muziki wa dansi.

Tamasha hilo lililoandaliwa na Kampuni ya Cheza Kidansi Entertaiment na kudhaminiwa na Kampuni ya Pembejeo za kilimo na Viuatilifu ya Mo Green International Limited chini ya Mkurugenzi wake, Patrick Kessy linatarajiwa kufanyika kwenye viwanja vya Gwambina Lounge zamani TCC Club Dar.

Akizungumza kwenye mkutano na wanahabari Mkurugenzi Mtendaji wa Cheza Kidansi Entertainment, Benard James amesema katika tamasha hilo bendi tano zinatarajiwa kutoana kijasho.

Benard alizitaja bendi hizo kuwa ni Bogoss Muzika chini ya Nyoshi El Saadat, Waluguru Orijino chini ya Killer Boy, Msondo Music Band na Mjengoni Classic chini ya Dijitali na Mapacha Music chini ya Jose Mara.

Sasiro amesema kabla ya burudani hiyo wameandaa luninga za kutosha kwa ajili ya kuangalia laivu mechi ya Watani wa jadi Simba na Yanga inayotarajiwa kufanyika jijini Mwanza.

Wakiwa kwenye mkutano huo na wanahabari wanamuziki wa bendi zinazotarajiwa kushiriki tamasha hilo kila mmoja alimwaga tambi za kuifunika bendi ya mwenzake jambo linaloonekana kuweza kuwa na ukinzani wa aina yake.

You Might Also Like

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

Audiomack yazindua kampeni ya ‘Ngoma juu ya ngoma’ kukuza muziki wa kitanzania

Exclusive: Con boi kafunguka hana mawasiliano na Lunya,Quick Rocka, akumbuka kifo cha mpenzi wake

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Edwin TZA May 27, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 27, 2022
Next Article Mume afariki kisa mkewe huko nchini Marekani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?