Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Bibi ahukumiwa miaka nane gerezani
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Bibi ahukumiwa miaka nane gerezani
Mix

Bibi ahukumiwa miaka nane gerezani

September 17, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro imemuhukumu Monica Mgaza(70) kutumikia kifungo cha miaka nane gerezani kwa kosa la kula njama na kumuua bila kukusudia Samweli Ngilwa ambaye ni Mtoto wake ili aweze kurithi nyumba.

Akisoma hukumu hiyo ya shauri namba 32 ya mwaka 2020 Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro Masseka Chaba amesema February 27 mwaka 2017 Monika pamoja na wezake wawili Abdalah Idd na Rajabu Omary ambao wamehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela, wanadaiwa kutenda kosa hilo kisha kumtupa Marehemu katika mashamba ya Mkonge Kijiji cha Rudewa Wilayani Kilosa.

Jaji Chaba amesema Washtakiwa wamekiri kutenda kosa hilo mbele ya Mahakama ambapo Mahakama kwa kuangalia afya na umri wa Watuhumiwa imewapa adhabu hiyo ili iwe fundisho.

Aidha Jaji Chaba amesema Mahakama hiyo sio mwisho wa chombo cha kutoa haki na Washitakiwa wana haki ya kukata rufaa endapo hawajaridhika na hukumu.

You Might Also Like

Wabunge wafurahishwa na utekelezwaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP

Profesa Mkenda kufungua maonesho ya Nane ya Tafiti na Ubunifu UDSM

Miaka 5 ya ITM, Serikali imeahidi kuadhimisha sekta ya rasilimali watu

Yanga, UNICEF na Serikali zaungana kutoa elimu Ugonjwa wa Kipindupindu

Msaada wa pikipiki kwa Polisi kulinda Watalii

Pascal Mwakyoma TZA September 17, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Putin “hatuna haraka Ukraine”
Next Article Wivu wa mapenzi amchoma mwenzie kisu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Top Stories

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?