Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Bibi wa miaka 68 ajifungua Mapacha wawili, Mume wake ana miaka 70
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Bibi wa miaka 68 ajifungua Mapacha wawili, Mume wake ana miaka 70
Top Stories

Bibi wa miaka 68 ajifungua Mapacha wawili, Mume wake ana miaka 70

April 21, 2020
Share
2 Min Read
SHARE

Tumeshuhudia jinsi ambavyo tatizo la Wanawake kutopata Watoto pale wanapowahitaji linavyotuumiza au kuwaumiza Ndugu Jamaa na Marafiki na hata wengine kukata tamaa lakini Bibi huyu wa Nigeria hadithi yake nitofauti kidogo kwa sababu yeye hakukubali kukaa chini.

Unaambiwa kwa miaka 43 yeye na Mume wake walikua wakisumbuka kupata Mtoto au Watoto, hatimaye leo hii wamepata tena na habari zao kupata uzito kwenye vichwa vya habari vya kimataifa kwasababu ujio wa Watoto wao sio wa kawaida kwani Bibi huyo amejifungua akiwa na umri wa miaka 68.

Bibi huyu anaeonekana kwenye picha mwenye umri wa miaka 68 ameitwa Mama kwa mara ya kwanza baada ya kujifungua Watoto wawili mapacha huko Lagos Nigeria.


Baba wa Mapacha hao Noah Adenuga mwenye umri wa miaka 70 (pichani) anasema walisumbuka sana kutafuta Mtoto mpaka kusafiri kwenda nje ya Nchi huko Uingereza ambako kunasifika kwa kuwa moja ya Nchi zilizoendelea duniani na zenye Madaktari wenye Utaalamu wa hali ya juu zaidi lakini hawakufanikiwa.

Baada ya juhudi kugonga mwamba wawili hawa waliamua kurudi nyumbani Nigeria baada ya jitihada zao kutatua tatizo la kupata ujauzito kugonga mwamba Nchini Uingereza ambako walikimbilia wakiamini kuna Wataalamu wa hali ya juu na watafanikiwa.

Mtandao wa Afrinik umeripoti kwamba Hospitali ya Chuo Kikuu cha Lagos Nigeria imesema huu ni muujiza ambapo wawili hawa walifeli majaribio ya kupata Watoto zaidi ya mara tatu kwa njia mbalimbali.

EXCLUSIVE: MFUNGWA ALIYEMKATA MKEWE KWA SHOKA ARUDI NYUMBANI

BREAKING: JENGO LA KUHIFADHI DAWA NA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA LAWAKA MOTO TEMEKE

You Might Also Like

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo April 21, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Man United na Arsenal zaipa baraka AS Roma kwa Smallinga na Mkhitaryan
Next Article VIDEO: Ben Paul na staa wa zamani Man United
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?