Mahakama kuu kanda ya Arusha imetoa uamuzi mdogo wa kuidhinisha maamuzi yaliyotolewa na Mahakama ya mwanzo ya Karatu yakumuongezea muda bibi mwenye miaka 92 wakukata rufaa nje ya muda baada yakutakiwa kuondoka kwenye eneo aliloachiwa na mume wake.
TZA