Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Biden akataa kutuma ndege za kivita Ukraine
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Biden akataa kutuma ndege za kivita Ukraine
Top Stories

Biden akataa kutuma ndege za kivita Ukraine

January 31, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Rais wa Marekani, Joe Biden amekataa kutuma ndege za kivita za F-16 nchini Ukraine, licha ya wito mpya kutoka kwa maafisa wa Ukraine wa kuomba msaada wa haraka wa vifaa vya anga.

Alipoulizwa na mwandishi wa habari katika mkutano wake jana iwapo Marekani itatoa ndege hizo, Biden alijibu “hapana”.

Kauli yake inakuja siku moja baada ya kiongozi wa Ujerumani pia kukataa kutuma ndege.

Kwa muda mrefu Ukraine imekuwa ikishinikiza washirika wake kutuma ndege za kusaidia Kyiv kuchukua udhibiti wa anga yake katika vita vinavyoendelea dhidi ya Urusi.

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky na maafisa wakuu wa kijeshi wa nchi hiyo wanasema kusiwe na miiko juu ya usaidizi huo wa kijeshi, imeelezwa kuwa Marekani na washirika wake wanahofia suala hilo litasababisha matatizo zaidi kwa kuzingatia Urusi ina silaha za nyuklia.

Falcons F-16 zinazotengenezwa Marekani zinachukuliwa kuwa mojawapo ya ndege za kivita zinazotegemewa zaidi duniani na hutumiwa na nchi nyingine, kama vile Ubelgiji na Pakistan.

Itakuwa uboreshaji mkubwa kwenye ndege za mapigano za enzi ya Usovieti – nyingi zikiwa ni MiGs – Ukraine inatumia hivi sasa, ambazo zilifanywa kabla ya nchi hiyo kutangaza uhuru kutoka kwa USSR mnamo 1991.

MAPYA NDOA YA DR. MWAKA HAIJAVUNJWA, TAMKO KALI LATOLEWA NA BARAZA LA ULAMAA

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA January 31, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Jorginho yametimia Arsenal
Next Article Maji ya ajabu yanayotoka bombani Johannesburg
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?