Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Rais Biden asaini amri inayolenga kulinda haki ya kutoa Mimba
Share
Notification Show More
Latest News
Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Rais Biden asaini amri inayolenga kulinda haki ya kutoa Mimba
Top Stories

Rais Biden asaini amri inayolenga kulinda haki ya kutoa Mimba

August 4, 2022
Share
1 Min Read
President Joe Biden speaks as he receives a briefing in the State Dining Room of the White House in Washington, Tuesday, Aug. 10, 2021, on how the COVID-19 pandemic is impacting hurricane preparedness. (AP Photo/Susan Walsh)
SHARE
Rais Joe Biden wa Marekani amesaini amri inayolenga kulinda haki ya kutoa mimba, uamuzi huo ni kujibu uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Juu kufuta haki ya kikatiba ya kutoa mimba nchini humo.

Amri hiyo inawataka Maafisa wa afya kuzingatia kuruhusu fedha za umma kutumika kuwasaidia Wanawake kusafiri kwenda kwenye majimbo wanakoweza kutoa mimba.

Hata hivyo, hatua hiyo inatazamiwa kuwa na mafanikio madogo, kwani wajumbe wa Republican wanapigania kuwepo kwa sheria za kuzuia utoaji mimba kwenye majimbo kadhaa ya Marekani.

Uamuzi wa Biden unafanyika siku moja tu baada ya wapigakura wa Kansas kukataa kuondoa ulinzi wa kutowa mimba kwenye katiba ya jimbo hilo, Kura hiyo lilikuwa jaribio la kwanza tangu uamuzi wa Mahakama ya Juu.

Biden ameiita kura hiyo kuwa ushindi na onyo la wazi kwa wanasiasa wanaoingilia haki za wanawake, amesema Mahaama ya Juu na Republican hawajui chochote kuhusu nguvu ya Wanawake wa Marekani.

You Might Also Like

Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani

Edwin TZA August 4, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Next Article Mtoto ajiua kwa kunywa sumu baada ya kukalipiwa na Baba yake
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
Entertainment August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
Top Stories August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
Magazeti August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Sports August 11, 2022

You Might also Like

Sports

Kauli ya Simba SC baada ya Tundaman kuingia na Jeneza ‘Simba day’ uwanja wa Mkapa

August 10, 2022
Sports

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

August 7, 2022
Sports

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

August 7, 2022
Sports

Manara amuingiza Hersi kwenye 18 za TFF

August 7, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?