Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Bilioni 13 zinekusanywa na Mfuko wa faida
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Bilioni 13 zinekusanywa na Mfuko wa faida
Top Stories

Bilioni 13 zinekusanywa na Mfuko wa faida

January 11, 2023
Share
2 Min Read
SHARE
Imeelezwa kuwa Takriban wawekezaji 3800 wamejiandikisha kuwekeza katika mfuko wa FAIDA FUND jambo ambalo limefanikisha makusanyo ya Shilingi Bill 13.5 kwa kipindi kifupi.
Hayo yameelezwa jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Investmet Dkt. Fredy Msemwa ambapo amesema kiwango cha uwekezaji katika mfuko huo kimeendelea kukua siku hadi siku na hivyo kuongeza mafanikio ya mfuko huo.
Amesema kuwa mpaka wanafunga mauzo ya mwanzo tarehe 31 Disemba mwaka 2022 wamefanikiwa kukusanya kiwango kikubwa na hivyo kuvuka malengo yaliyokuwa yamewekwa
Dkt. Msemwa amesema kuwa mafanikio hayo yanatokana na watu wengi wamekuwa wakitumia teknolojia rahisi na matumizi ya simu na mitandao ya kompyuta imesaidia kuufikia mfuko huo kwa wepesi na hivyo kufanikisha makusanyo hayo.
‘Watu wengi wameweza kufikia mfuko wa FAIDA FUND na kufanya uwekezaji ambao tumeweza kukusanya kiasi cha Tsh Bill 12.95 ambacho kilikuaanywa tarehe 31.12.2022 na hivi sasa kiasi hicho kimeongezeka mpaka kufika jana kwenye mwezi huu tumekusanya Shilingi Bill 13.5’amesema Dkt. Fredy Msemwa
Aidha Dkt. Msemwa amesema kiasi cha fedha ambacho kimewekezwa kimeendelea kukua siku hadi siku ambapo pia thamani ya kipande awali ilikuwa 100 na sasa imeongezeka kwa shilingi 100.54 mpaka kufika jana.
Mkurugenzi huyo amesema mafanikio hayo yamewezekana kutokana na matumizi ya mfumo rahisi wa malipo serikali ambao umewaletea faida kubwa ikiwemo ya utambuzi wa miamala kufanyika kwa kasi kubwa.
Dkt. Msemwa ameeleza faida nyingine kuwa yanafanya fedha zinazowekezwa kuwa salama ambapo tayari fedha hizo zimeingizwa katika uwekezaji wa dhamana za serikali za muda mrefu miaka 2022/2025
Hata hivyo wawekezaji pia wamepata faida katika Mfuko huo kutokana na gharama zake kuwa ndogo kwani wanalipa kidogo kwa ajili ya mtandao na zinazobaki zinaingizwa serikalini.

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA January 11, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 11, 2023
Next Article Mwanzo mwisho kifo kilivyomchukua Staa wa kucheza na pikipiki, Baba asimulia historia (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?