Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Jinsi mashabiki walivyopata burudani kali kutoka kwa wasanii Club Bilz (+Picha)
Share
Notification Show More
Latest News
Wakimbizi 30 wafariki kwa njaa na utapiamlo kusini magharibi mwa Ethiopia
September 22, 2023
Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York
September 22, 2023
Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni
September 22, 2023
Urusi imepiga marufuku kwa muda uuzaji wa mafuta ili kukabiliana na uhaba
September 22, 2023
Gabon: Jean Ping atangaza kuwa ‘tayari kufanya kazi’ na viongozi wapya
September 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Jinsi mashabiki walivyopata burudani kali kutoka kwa wasanii Club Bilz (+Picha)
Habari za Mastaa

Jinsi mashabiki walivyopata burudani kali kutoka kwa wasanii Club Bilz (+Picha)

March 21, 2016
Share
2 Min Read
.
SHARE

Ni usiku wa  March 20, 2016 ambapo  wakali kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva waliungana kwa pamoja kutoa burudani ya nguvu kwa mashabiki waliohudhuria katika ukumbi wa Club Bilz.miongoni mwa wasanii walionogesha stage akiwemo Roma Mkatoliki, Abdul Kiba, Mo Music, Ali Kiba, Dayna Nyange na wengineo.

Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio hilo

.
.Msanii Mo Music akitoa burudani ya nguvu
.
.
.
.
.
.Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki ni miongoni waliotoa burudani ya nguvu usiku wa March 20, 2016
.
.Miongoni mwa wasanii waliohudhuria show hiyo alikuwa ni Ali Kiba ambaye alipanda jukwaani na kumpa support mdogo wake Abdul Kiba
.
.Mashabiki wakipata burudani ya nguvu kutoka kwa Abdul Kiba
.
Pichani: Abdul Kiba akiimba jukwaani wimbo wa Ayayaa aliyoshirikisha Ruby ambapo Gygi Money alipanda jukwaani na kuimba badala ya Ruby ili mashabiki waienjoy burudani kali
.
.Abdul Kiba

AW1A8787

.
.Msanii (katikati) Dayna Nyange na watu wake wa nguvu
.
.Roma Mkatoliki akiwa na watu wa nguvu
.
.
.
.Mr T-Touch pamoja na watu wa nguvu
.
.Dayna Nyange na Future JNL
.
.Belle 9 na Moni Central zone ni miongoni waliohudhuria show hiyo iliyofanyika usiku wa March 20, 2016 katika ukumbi wa Club Bilz

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter,FB,Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FBYOUTUBE

ULIMISS KUANGALIA ZAWADI ALIYOPEWA DOGO JANJA NA UONGOZI WAKE WA TIPTOP AINA YA BENZ

You Might Also Like

Diamond na Jux wanusurika kifo kwenye lift ya ghorofa

Str8upvibes wameungana na Everthing Dope TZ kumleta mkali wa kwenye ‘Young, Famous and African’

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

TAGGED: Pichaz
Edwin TZA March 21, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 21 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
Next Article Pichaz 20:kutoka kwenye Kamatia Chini Lights UP Tour ya Navy Kenzo Club 71 Dar…
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Wakimbizi 30 wafariki kwa njaa na utapiamlo kusini magharibi mwa Ethiopia
Top Stories September 22, 2023
Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York
Top Stories September 22, 2023
Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni
Top Stories September 22, 2023
Urusi imepiga marufuku kwa muda uuzaji wa mafuta ili kukabiliana na uhaba
Top Stories September 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Wakimbizi 30 wafariki kwa njaa na utapiamlo kusini magharibi mwa Ethiopia

September 22, 2023
Top Stories

Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York

September 22, 2023
Top Stories

Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni

September 22, 2023
Top Stories

Gabon: Jean Ping atangaza kuwa ‘tayari kufanya kazi’ na viongozi wapya

September 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?