Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Katibu Mkuu Utumishi Dr.Lauren Ndumbaro anena kuhusu umuhimu wa Bima nchini
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Katibu Mkuu Utumishi Dr.Lauren Ndumbaro anena kuhusu umuhimu wa Bima nchini
Top Stories

Katibu Mkuu Utumishi Dr.Lauren Ndumbaro anena kuhusu umuhimu wa Bima nchini

December 19, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Ni Desemba 19, 2022 Katibu Mkuu Utumishi Dr.Lauren Ndumbaro amewataka watumishi wa Tira hapa nchini kuhakikisha wanatoa elimu kwa wananchi kwa lugha rahisi ili kuwezesha Jamii kufahamu zaidi umuhimu wa bima hapa nchini.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa tatu wa baraza la Wafanyakazi wa mamlaka ya usimamizi wa bima (TIRA) Mkoani Tanga Katibu Mkuu utumishi Dr.Lauren amesema kuwa ni wajibu sasa wa Watumishi wa bima kuwa wabunifu katika utoaji wa Elimu ili kuhamasisha watu wengi kujiunga ili kusaidia Jamii lakini pia kuongeza mapato ya nchi.

”Ni wakati sasa kufikiria kuendesha kazi zenu kidigitali ili kuwezesha mambo mengine zaidi kwenda kwa urahisi zaidi kwani Mhe.Rais Dr.Samia suluhu Hassan nia yake kubwa ni kuona tasisi nyingi za kiserikali zikitekeleza majukumu yao kidigitali zaidia” Alisema dr Ndumbaro

Aidha dr.Ndumbaro amewataka watumishi kuweka usiri zaidi katika kutoa huduma ili kuwepo usiri baina na mtumishi na mteja Sambamba na kuzingatia uzalendo na kufanya kazi kwa juhudi na maarifa.

Hata hivyo kamishina wa Tanzania Dr.Baghayo Saqware amebainisha changamoto mbalimbali wanazo kutana nazo wakati wa utekelezaji wa majukumu yao kwenye sekta ya bina ambayo ni kutokuwepo kwa sera ya bima hapa nchini pamoja na kutokuwepo kwa bodi ya taifa ya bina na hivyo kupelekea mambo mengi ya kiutumishi kukwama.

 

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

Edwin TZA December 19, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Rufaa ya Shaffih Dauda yagonga mwamba TFF
Next Article Picha: Katibu wa Mbunge wa jimbo la Ulanga akabidhi mifuko ya Saruji kwaajili ya Ujenzi huu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?