“Skudu Makudubela perfomance zero, hauziki, chenga hatari kama Okocha, Ronaldinho (+video)
Kipindi hiki cha usajili Pascal Mwakyoma amefanya mahojiano na Mchambuzi wa Soka Ramadhan Mbwaduke kubwa kuchambua baadhi ya sajili za msimu huu wa 2023/24. Hapa na leo nakuletea uchambuzi wa…
Silaha hatari, nzito duniani za maangamizi, hazifai kutumika
Ndani ya AyoTV nimekuandalia makala fupi juu ya Silaha kumi nzito za maangamizi duniani, nyingine hata hazitumiki, bonyeza PLAY hapa chini kutazama makala hii https://youtu.be/kWjoII7fSTI https://www.youtube.com/watch?v=aF0293k_cqI
Waziri Mkuu akutana na balozi wa Umoja wa Ulaya nchini.
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Februari 18, 2025 amefanya mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Christine Grau, Ofisini ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar es salaam. Katika…
Meta inapanga kutengeneza kebo ndefu zaidi duniani chini ya bahari
Meta inapanga kutengeneza kebo ndefu zaidi duniani chini ya bahari, inayolenga kuunganisha Marekani, India, Afrika Kusini, Brazili na maeneo mengine. Mmiliki wa Instagram, Facebook, na WhatsApp atatengeneza kebo yenye urefu…
Wanajeshi wa Sudan waua mamia katika vijiji vya White Nile:Ripoti
Waasi wa Sudan wameua mamia ya watu katika shambulio la siku tatu katika jimbo la kusini la White Nile, kulingana na shirika la kutetea haki za binadamu. Mashambulizi dhidi ya…
Wanandoa wa Uingereza waliozuiliwa nchini Iran wakishtakiwa kwa ujasusi
Wanandoa wa Uingereza waliozuiliwa nchini Iran kwa shutuma za kuipeleleza nchi hiyo wameshtakiwa kwa ujasusi, kwa mujibu wa shirika la habari la mahakama la Iran. Bw na Bi Foreman walikamatwa…
Umoja wa Mataifa watoa wito wa utulivu huku ghasia zikipamba moto nchini Sudan Kusini
Umoja wa Mataifa umetoa wito wa utulivu huku ukiripoti mapigano makali nchini Sudan Kusini yamesababisha vifo vya raia na kumjeruhi askari wa kulinda amani. Mapigano yalizuka kati ya Jeshi la…
Christian Eriksen kuondoka Manchester United msimu huu wa joto
Christian Eriksen anatarajiwa kuondoka Manchester United mwishoni mwa msimu huu, kwa mujibu wa mdau wa ndani Fabrizio Romano. Kiungo huyo wa kati wa Denmark, ambaye alijiunga na klabu hiyo msimu…
Waziri Mkuu ateta na Mtoto wa Lowassa akiahidi ushirikiano na Sekta Binafsi (+picha)
Leo 18 Februari,2025 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mtoto Hayati Edward Lowassa, Robert Lowassa ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tan Communications Media Ltd mara baada ua kukutana katika Mkutano…
Mawalaka wa vyama vya siasa watakuwa kutoingilia majukumu ya watendaji wa tume ya uchaguzi
Tume huru ya Taifa ya uchaguzi imewataka mawakala wa vyama vya siasa kutoingilia majukumu ya watendaji wa daftari la Kudumu la wapigakura wakati wa utekelezaji wa zoezi la uboreshaji wa…
Putin yupo tayari kuzungumza juu ya amani :Kremlin
Suluhu ya kudumu nchini Ukraine "haiwezekani" bila kushughulikia suala pana la usalama wa Ulaya, Kremlin ilisema Jumanne, wakati Marekani na Urusi zikifanya mazungumzo ya kwanza ya ngazi ya juu tangu…
Wizara ya Ardhi Mkoa wa Tanga Yadai Wamiliki wa Maeneo Makubwa Shilingi Bilioni 2.5
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mkoa wa Tanga inawadai wamiliki wa maeneo makubwa kiasi cha Shilingi bilioni 3.4 ikiwa ni malimbikizo ya muda mrefu ya madeni yanayotokana…