“Skudu Makudubela perfomance zero, hauziki, chenga hatari kama Okocha, Ronaldinho (+video)
Kipindi hiki cha usajili Pascal Mwakyoma amefanya mahojiano na Mchambuzi wa Soka Ramadhan Mbwaduke kubwa kuchambua baadhi ya sajili za msimu huu wa 2023/24. Hapa na leo nakuletea uchambuzi wa…
Silaha hatari, nzito duniani za maangamizi, hazifai kutumika
Ndani ya AyoTV nimekuandalia makala fupi juu ya Silaha kumi nzito za maangamizi duniani, nyingine hata hazitumiki, bonyeza PLAY hapa chini kutazama makala hii
Wanafunzi 90 wa shule ya msingi wamelazwa hospitalini baada ya kula keki zenye bangi
Takribani watoto 90 wa shule moja ya Msingi nchini Afrika Kusini wamelazwa hospitali baada ya kula Keki zinazoshukiwa kuchanganywa na bangi. Watoto hao ambao wana umri kati ya miaka 6…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 22, 2023
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania September 22. 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
NEMC yatoa siku saba kwa Uongozi wa kiwanda kichotengeneza Wadudu, harufu kali yalalamikiwa
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa siku saba kwa Kampuni ya Chanzi Limited ambayo inajishughulisha na uzalishaji wa funza kwa ajili ya utengenezaji wa Chakula…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 22, 2023
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam September 22, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
RC Geita aipongeza GGML kudhamini maonesho ya madini, 400 kushiriki
MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuendelea kuwa mdhamini mkuu wa maonesho ya sita ya teknolojia ya madini Geita ambayo…
Picha: Kutokea kwenye Mkutano kitaifa unaojadili upatikanaji wa Nishati nchini
Siku ya pili ya Mkutano kitaifa wa kujadili kuhusu upatikanaji wa Nishati nchini ambapo mgeni rasmi ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud. Mkutano huu ulianza siku…
Mabingwa wenye bidhaa za kielectronic ‘Haier’ leo wametangaza habari hii njema mbele ya Waandishi wa Habari
Ukienda Marekani utaambiwa HAIER iliingia rasmi tangu mwaka 1999, Indonesia utaambiwa HAIER waliingia rasmi tangu mwaka 1996, pale Philippines ni tangu mwaka 1997, India ni tangu 2004…. hapo sijazitaja Nchi…
Naibu waziri mkuu, waziri wa nishati dkt.Doto Biteko kufungua maonesho ya sita ya madini geita
Naibu waziri mkuu ambaye pia ni waziri wa nishati Dkt.Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa maonesho ya Sita ya teknolojia ya Madini mkoani Geita yatakayofunguliwa Septemba 23…
Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman ajibu shutuma za mashabiki…..
Pamoja na kumiliki Newcastle United, Mfuko wa Uwekezaji wa Umma wa Saudi Arabia pia umezindua LIV Golf na kuwekeza mamilioni katika Ligi ya Saudi Pro, ambapo wanamiliki timu nne –…
Nahodha wa Tottenham Heung-min Son ana hamu ya kusahihisha makosa ya matokeo wikiendi hii
Nahodha wa Tottenham Heung-min Son ana hamu ya kusahihisha makosa ya matokeo ya derby ya London kaskazini mwa msimu uliopita wikendi hii. Spurs walipoteza 3-1 na 2-0 na wapinzani wao…