“Skudu Makudubela perfomance zero, hauziki, chenga hatari kama Okocha, Ronaldinho (+video)
Kipindi hiki cha usajili Pascal Mwakyoma amefanya mahojiano na Mchambuzi wa Soka Ramadhan Mbwaduke kubwa kuchambua baadhi ya sajili za msimu huu wa 2023/24. Hapa na leo nakuletea uchambuzi wa…
Silaha hatari, nzito duniani za maangamizi, hazifai kutumika
Ndani ya AyoTV nimekuandalia makala fupi juu ya Silaha kumi nzito za maangamizi duniani, nyingine hata hazitumiki, bonyeza PLAY hapa chini kutazama makala hii https://youtu.be/kWjoII7fSTI https://www.youtube.com/watch?v=aF0293k_cqI
Mkali huyo wa Amapiano kutumbuiza usiku wa leo Dar Elements , hii ndio EP yake
Ni July 26, 2024 ambapo Mtayarishaji na Dj kutokea nchini Afrika Kusini, Xduppy usiku wa leo anatarajia kuzicheza nyimbo zao zinazofahamika kwa jina la Amapiano. Mkali huyo anatarajiwa kukutana na…
RUWASA na Shirika la Misaada la Marekani wafanya hili July 26, 2024
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA) Mkoa wa Manyara Chini ya ufadhili wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID) imetia Saini mkataba wa uendelezaji na upimaji…
Dr Mwinyi ahimiza Malezi bora katika Jamii
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj. Dk. Hussein Ali Mwinyi amehiwahimiza Wazazi na Walezi kuhakikisha wanasimamia malezi bora yenye maadili kwa watoto na vijana ili kunusuru taifa…
Watuhumiwa tisa mauaji ya mtoto Asimwe Novart wamefikishwa Mahakamani leo
Leo July 26,2024 imeitwa tena kwa mara ya tatu kesi ya watuhumiwa tisa wa mauaji ya mtoto Asimwe Novart aliyekuwa na ualbino ambaye alichukuliwa nyumbani kwao Kamachumu may 30 mwaka…
Esha Buheti alamba dili la ‘GSM Coconut Cream’, aandika haya
Ni July 26, 2024 ambapo Mwigizaji na Mjasiriamali, Esha Buheti ameingia kwenye vichwa vya habari mitandaoni baada ya kusaini mkataba mpya wa kutangaza bidhaa za GSM Coconut Cream. Kupitia kwenye…
TASAC YAISHAURI TRA KUPUNGUZA KODI YA MALIGHAFI
Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania TASAC,Imewashauri Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA,kuangalia namna ya Kupunguza Kodi ya Malighafi ya kukarabati Boti za Wavuvi Ili kuongeza ufanisi…
UTT AMIS YAZINDUA KAMPENI YA UWEKEZAJI KWA JAMII
Mifuko ya uwekezaji wa pamoja unaosimamiwa na UTT amis wamneanzisha kampeni ya uwekezaji kwa jamii yenye lengo la kuwafikia watu wengi zaidi kuwekeza katika mifuko hiyo ya kampeni iliopewa jina…
TIC YAKUTANA NA WAWEKEZAJI WA NDANI YA NCHI
Mkurugenzi mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Gilead Teri amesema kuwa kuboreshwa kwa sheria mpya ya uwekezaji imeibua faida mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupunguza kiwango cha mtaji kutoka…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo July 26, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania July 26, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 26, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam July 26, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.