“Skudu Makudubela perfomance zero, hauziki, chenga hatari kama Okocha, Ronaldinho (+video)
Kipindi hiki cha usajili Pascal Mwakyoma amefanya mahojiano na Mchambuzi wa Soka Ramadhan Mbwaduke kubwa kuchambua baadhi ya sajili za msimu huu wa 2023/24. Hapa na leo nakuletea uchambuzi wa…
Silaha hatari, nzito duniani za maangamizi, hazifai kutumika
Ndani ya AyoTV nimekuandalia makala fupi juu ya Silaha kumi nzito za maangamizi duniani, nyingine hata hazitumiki, bonyeza PLAY hapa chini kutazama makala hii
Habari kubwa Magazetini Kenya leo April 27, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania April 27, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo April 27, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam April 27, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Asema Rais Samia ‘Waliodumisha Muungano wapewe maua yao’
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuendelea kuwapa maua yao na kudumisha maono ya Waasisi wa Muungano Hayati Mwl. Nyerere na Mzee Karume pamoja na Viongozi waliofuatia…
GGML, OSHA wawanoa mama lishe 50 kukabiliana na majanga ya moto
Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo maalumu kwa akina mama lishe 50 wa mkoa wa…
Fundi atelekeza mradi na bweni wilayani Bukombe mkoani Geita
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Geita Imebaini kucheleweshwa kwa ujenzi wa mradi wa Mabweni 03 katika shule ya Sekondari Bukombe yenye thamani ya Shilingi Milioni…
Daraja Mto Luipa kunusuru maisha ya wananchi Mlimba
Wakazi wa vijiji vya Kisegese, Chiwachiwa na Lavina katika Kata ya Namwawala na Mbingu na Igima wataepuka hatari ya kupotezamaisha baada ya daraja jipya kuanza kujengwa katika Mto Luipa …
SERA YA ELIMU 2024 KUONGEZA KASI YA TEKNOLOJIA KWA TAIFA.
Serikali kupitia wizara ya Elimu sayansi na teknolojia imejipanga kufanya mapitio ya mitaala kuanzia ngazi ya awali hadi chuo kikuu ili kuwanoa wanafunzi watakaondana na ukuaji wa teknolojia ulimwenguni ili…
TAKUKURU wakamata watumishi wa serikali kwa tuhuma za kuomba rushwa ‘tutaendelea kukamata”
Wakurugenzi wa halmashauri wametakiwa kuchukua hatua kali za kisheria kwa wale wanaohusika kukwamisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo mkoani Njombe. Kauli hiyo imetolewa April 25,2024 na kamanda wa Takukuru mkoa…
Marufuku kutumia baiskeli ya mwanafunzi kwenda kunywea pombe
Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela amepiga Marufuku Baadhi ya wazazi na walezi wa wanafunzi wa kike waliokabidhiwa Baiskeli na Shirika la Plan International zitakazo kwenda kusaidia kupunguza Changamoto…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo April 26, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania April 26, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.