Vijana 1500 wanufaika na fursa za ujarimali kutoka mikoa ya Dar es Salam,Dodoma na Morogoro
Zaidi ya vijana 1500 wameendelea kunufaika na Mradi wa Going Beyond kutoka mikoa mitatu ambayo Dar es Salaam Morogoro na Dodoma ikiwa ni lengo la kuhakikisha vijana wanaendelea kutumia mfumo…
Mhe. Mhandisi Masauni akutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Saudi Arabia
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Saudi Arabia kuhusu Nishati Safi ya Kupikia.…
Serikali Uingereza yavutiwa na mkakati wa Tanzania kuongeza thamani madini
Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika Mh.Lord Collins amevutiwa na mpango wa nchi ya Tanzania kuandaa mkakati maalum wa uongezaji thamani madini nchini Tanzania na kuahidi kwamba Uingereza itatoa…
Oparesheni maalumu ya kuwadhibiti wanyamapori wakali na waharibifu aina ya fisi Simiyu
Oparesheni maalumu ya kuwadhibiti wanyamapori wakali na waharibifu aina ya fisi waliokuwa wanaleta taharuki na madhara Kwa jamii inayoendelea Mkoani Simiyu imeonesha mafanikio makubwa baada ya fisi 16 kuvunwa ikiwa…
Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya anga kuonyesha uwezo wa kuzuia mashambulizi
Korea Kusini siku ya Alhamisi ilifanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi na Marekani ili kuzuia vitisho vya kijeshi vya Korea Kaskazini, kulingana na Wizara ya Ulinzi ya Seoul. Mazoezi ya…
Wasanii Morogoro walia na wadhamini
Wasanii wa nyimbo mbalimbali mkoani Morogoro wamesema changamoto kubwa inayowakabili ni kukosa mitaji na wafadhiri ambao wanaweza kuwaunga mkono Ili waweze kufanikiwa. Wakizungumza na Ayo tv baadhi ya wasanii hao…
Watu 12 wakamatwa kwa kufanya biashara mtandaoni bila leseni
Jeshi la polisi kushirikiana na TCRA na Benki ya Tanzania wamefanikiwa kuwakamata Watu 12 kwa tuhuma za kujihusiha na utapeli Kwa njia ya mtandao kupitia kampuni ya inayofahamika kwa jina…
Kamati ya Bunge yajionea uwekezaji wa Bilioni 732 kiwanda cha sukari
Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo leo wameitembelea Kampuni ya Sukari Kilombero mkoani Morogoro ili kujionea maendeleo ya mradi wa kimkakati ya upanuzi…
Mazungumzo kuhusu awamu inayofuata ya kusitisha mapigano Gaza wiki hii
Israel na Hamas wataanza mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kuhusu hatua ya pili ya makubaliano ya kusitisha mapigano wiki hii, maafisa wamesema. Mazungumzo yalipaswa kuanza tarehe 4 Februari, lakini…
Zaidi ya mil.270. kutekeleza mradi wa maji r/Mbuyuni
Serikali ya Awamu ya Sita kupitia wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA imetoa zaidi ya shilingi Millioni 271 kwaajili ya uboreshaji wa mradi wa maji wa Ruaha…