Bosi wa Spurs amejibu madai ya Eric Dier kuhusu ukosefu wa mbinu za kiufundi uwanjani
Meneja wa Tottenham Hotspur Ange Postecoglou amekanusha madai ya Eric Dier kuhusu ukosefu wa mbinu za kiufundi kwenye uwanja wa mazoezi, akisema “hivyo tu ndivyo tunayofanya kila siku.” Postecoglou alikuwa…
Chama cha mapinduzi kimetoa Milioni 10 kwa wananchi waliopatwa na maafa Mbeya
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi , amewatembelea wananchi waliopatwa na maafa ya kuharibikiwa kwa nyumba na mali zao mara baada ya mvua kubwa zinazoendelea…
Wanawake 10,000amefariki huku watoto 19,000 wakiachwa yatima huko Gaza
Miezi sita ya vita vya Israel dhidi ya Gaza wanawake 10,000 wa Kipalestina huko Gaza wameuawa, kati yao wakina mama wanaokadiriwa kufikia 6,000, na kuwaacha watoto 19,000 wakiwa yatima. Wanawake…
Aliyemchomoa mtoto wa mwanamke mjamzito kwa kisu jela miaka 50
Mwanamke mmoja wa Chicago anayeshutumiwa kwa kumrubuni binti mjamzito nyumbani kwake na kumtoa mtoto aliyeko tumboni mwake kwa kisu karibu miaka mitano iliyopita akiri kosa la mauaji Jumanne na kuhukumiwa…
Suala la kikokotoo litatuliwe ili isiendelee kutengeneza watumishi wezi :Mb Musukuma
Mbunge wa jimbo la Geita Joseph Kasheku Musukuma akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ameishauri serikali ione namna kutatua suala la kikokotoo akidai kinawaumiza watumisi…
Arusha: Dereva wa gari la shule aliesababisha vifo vya watoto 8 afikishwa mahakamani
Dereva Luqman Hemed Juma Mkazi wa kata ya Sinoni Mkoani Arusha aliyekuwa akiendesha Basi la Shule ya Ghati Memorial ( Toyota Hiace) lililopata ajali na kuua Wanafunzi nane April 12…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akagua athari za mafuriko Rufiji
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Wananchi waliokumbwa na adha ya mafuriko Nchini waendelee kuwa watulivu wakati Serikali ikiendelea kuratibu utoaji wa misaada kwenye maeneo yaliyoathirika. “Barabara ya Mkongo hadi Utete…
Burundi yatangaza hali ya hatari kutokana mvua za El nino
Serikali ya Burundi imetangaza kuwa katika wakati mgumu na kutangaza hali ya hatari kutokana na kujaa kwa Ziwa Tanganyika na kuingia katika makazi ya watu. Waziri wa Mambo ya Ndani…
Waisraeli wanafanya uamuzi wa kuchukua hatua dhidi ya shambulizi la Iran
Israel imefanya uamuzi wa kujibu mashambulizi ya Iran ya kulipiza kisasi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza David Cameron alisema baada ya kukutana na Rais wa Israel Isaac Herzog…
Vilabu vya Ulaya achilieni wachezaji wetu kwa ajili ya mashindano ya Paris Olympics :rais wa Ufaransa
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alishinikiza vilabu vya Ulaya kuwaachilia wachezaji wao kwa ajili ya mashindano ya soka ya wanaume ya Paris Olympics msimu huu, akiweka msisitizo kwa Real Madrid,…