Mbunge Cherehani aiomba wizara ya nishati kuwezesha vijiji 26 kupata huduma ya umeme Ushetu
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ameiomba Wizara ya Nichati kupitia kwa Waziri Dotto Biteko kuwezesha kupatikana kwa huduma ya umeme katika vijiji 26 vilivyosalia katika jimbo la ushetu…
TBS yatoa wito kupima ubora na usalama wa maji ya kisima kwa matumiz ya nyumbani
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewashauri wenye visima vya maji kuhakikisha maji yanapimwa ili kukidhi ubora na kulinda usalama wa afya zao. Hayo yamebainishwa Leo Aprili 24,2024 na Afisa udhibiti…
Baraza la Israel linazingatia kutoa hati ya kimataifa ya kukamatwa kwa Netanyahu: Ripoti
Baraza la Usalama la Taifa la Israel lilifanya majadiliano ya siri juu ya uwezekano wa kutoa hati za kimataifa za kukamatwa kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, Waziri wa Ulinzi Yoav…
Jamii yaanza kunufaika na huduma ya Afya bure kwa wenye kisukari na Watoto Mapacha
Wananchi wa Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera hususani kata ya Kitendaguro tayari wameanza kunufaika na uwepo wa kituo cha kutolea huduma ya Afya (Pasaka Health care dispensary),na hii inakuja baada…
Wanajeshi wa Israel ‘wawateka nyara madaktari 9 kutoka hospitali ya Gaza
Jeshi la Israel limewaua mamia ya watu waliokimbia makazi yao, wagonjwa na waliojeruhiwa wakati wa uvamizi kwenye jengo la Nasser Medical Complex katika mji wa Khan Younis kusini mwa Gaza…
TAF milikini hifadhi za misitu -Mhe.Kitandula
Chama cha Wataalamu wa Misitu Tanzania (TAF) kimeaswa kuanzisha hifadhi zake za misitu katika maeneo mbalimbali nchini ili kuepukana na changamoto ya ukosefu wa fedha za kuendesha chama. Rai hiyo…
Serikali kuchukua hatua kudhibiti tabia ya baadhi ya taasisi za fedha kutoa mikopo kinyume na miongozo
Serikali imesema kuwa inaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisera, kiutawala na kisheria ili kudhibiti tabia ya baadhi ya taasisi za fedha kutoa mikopo kinyume na miongozo iliyopo. Hayo yameelezwa bungeni,…
Miili mingi kati ya 392 iliyopatikana kwenye makaburi ya halaiki haijatambuliwa: Gaza
Kati ya miili 392 iliyopatikana katika makaburi ya halaiki ya Gaza, ni 65 tu ndiyo imetambuliwa na jamaa, alisema Yamen Abu Sulaiman, mkuu wa idara ya ulinzi wa raia wa…
Zaidi ya wanafunzi 100 wamekamatwa huko California, kwenye maandamano ya kupinga vita vya Israel
Polisi nchini Marekani wamewakamata makumi ya waandamanaji katika Chuo Kikuu cha Texas huko Austin (UT Austin) na Chuo Kikuu cha Kusini mwa California (USC) huku maandamano yanayoongozwa na wanafunzi kupinga…
Line za simu zinazotumika ni Millioni 72
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema kuwa sekta ya mawasiliano nchini imekuwa kwa kasi ambapo mpaka kufikia hivi sasa kuna jumla ya Line za simu…