Gofu wanawake wapata viongozi wapya, Queen ashinda Urais, Yasmin Katibu Mkuu
Mmoja wa wachezaji gofu maarufu wa kike, Queen Siraki ameibuka mshindi wa kiti cha Urais wa Chama cha mchezo wa gofu cha wanawake nchini (TLGU) katika uchaguzi uliofanyika Jumamosi jioni…
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Mkuu wa Wilaya ya hanang Mkoani Manyara Janeth Mayanja, amewataka wakulima Wilayani humo kuacha tabia ya kuchukua mikopo bila kuweka malengo nakuwasihi kulima kilimo cha kisasa ili kunufaika na kilimo…
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Ni Msanii wa kike kutokea Bongo Flevani, Gigy Money ambae time hii katuletea hii video mpya ya wimbo wake uitwao Ogopa itazame hapa.
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara limezundua mashindano ya Polisi Jamii Cup yenye lengo la kuishirikisha jamii hususani vijana katika kupambana na uhalifu katika mkoa wa Manyara kupitia michezo. Kamanda…
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
Ni Machi 25, 2023 ambapo nakukutanisha na Ahmed Asas ambae ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Maziwa Tanzania, ‘Asas Dairies Ltd’ na kuzungumza nae yale tusiyoyajua kuhusu Uzalishaji wa Maziwa. Akizungumza…
Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana
Mfanyabiashara Maarufu Jijini Arusha,Richard Poul maarufu kwa jina la Marcas amajitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi Moja ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu{NEC} Mkoa wa Arusha akisema kuwa lengo lake kuu…
Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’
Wananchi wa Kata ya Mkomazi Wilayani Korogwe Mkoani Tanga wamemuomba Mkuu wa Wilaya hiyo, Jokate Mwegelo kutafuta ufumbuzi wa changamoto ya Tembo ambao wamekua wakiharibu mazao yao. Wakiongea katika mkutano wa…
Ommy Dimpoz akifunguka kuhusu Big Sale inayopatikana kwenye maduka ya GSM Mall
Siku ya Leo Machi 25, 2023 limezinduliwa Duka Jipya la GSM Home lililopo GSM Mall PUGU, Ndani ya GSM Mall PUGU iliyopo nyerere road Dar es Salaam. Katika uzinduzi huo…
Jeshi la Polisi lathibitisha hili, “Mchina aliyempiga Mtanzania akamatwa”
Jeshi la Polisi limesema Raia wa China Zheng Yuan Feng ambaye ni Mfanyakazi wa Kampuni ya CRCC upande wa jikoni katika mradi wa SGR kambi ya Fela, amefikishwa Mahakamani jana…
Picha: Uzinduzi wa ‘GSM Home’ ndani ya GSM Mall Pugu Nyerere Road Dar es Salaam
Siku ya Leo Machi 25, 2023 limezinduliwa Duka Jipya la GSM Home lililopo GSM Mall PUGU, Ndani ya GSM Mall PUGU iliyopo nyerere road Dar es Salaam. Katika uzinduzi huo…