Tafori yaanika fursa kupitia misitu na Nyuki
Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) imewasisitiza Watanzania kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya Misitu na Nyuki, kwa kuwekeza katika misitu na kushiriki katika ufugaji nyuki kwa kuzingatia njia…
Meli ya mizigo yazama kwenye ufuo wa Taiwan, mabaharia 9 watoweka
Meli ya mizigo iliyokuwa na bendera ya Tanzania "imezama" kusini mwa Taiwan na wafanyakazi wake tisa, raia wa Burma, hawajulikani waliko, wamesema leo Alhamisi maafisa wa kikosi cha zima moto…
Musk hakuwahi kuniambia kuhusu mchango wowote wa kunipatia $45m -Trump
Donald Trump amesema Elon Musk hakuwahi kumwambia kwamba alipanga kutoa $45m kwa kampeni yake. Rais huyo wa zamani, ambaye alitoa maoni hayo katika mahojiano na Fox News, pia alitoa wito…
Idadi ya waliofariki kutokana na maporomoko ya udongo Ethiopia inaweza kuzidi 500- UN
Idadi ya waliofariki kutokana na maporomoko ya udongo yaliyotokea kusini mwa Ethiopia imeongezeka hadi 257, Umoja wa Mataifa ulisema Alhamisi, ukionya kwamba huenda ikaongezeka hadi 500. Maafa hayo yalitokea siku…
Rais wa Uganda Yoweri Museveni asifu polisi walivyozima maandamano
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amewasifu maafisa wa vyombo vya usalama nchini humo kwa kuzima na kuwakamata waliohusika na maandamano ya kulalamikia ufisadi nchini humo. Katika taarifa iliyochapishwa katika ukarasa…
CCM Njombe waridhishwa na ujenzi wa barabara ya kiwango cha zege ya Itoli-Ludewa-Manda
Chama cha Mapinduzi (CCM) pamoja na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe wameupongeza Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa usimamizi madhubuti wa ujenzi wa barabara ya Itoni - Lusitu…
Israel yapata miili ya mateka 5 waliochukuliwa na Hamas wakati wa shambulio la Oktoba 7
Vikosi vya Israel vimeichukua miili ya watu watano waliokuwa wametekwa nyara na Hamas wakati wa shambulio la Oktoba 7 kusini mwa Israel. Jeshi lilithibitisha Alhamisi (Julai 25) kwamba mabaki ya…
Mchina apoteza jicho moja baada ya kuua mdudu usoni
Katika tukio la kutisha lililoripotiwa kutoka China, mwanamume mmoja alilazimika kuondolewa mboni ya jicho la kushoto baada ya kumuua nzi usoni. Madaktari hawakuweza kupata tiba ya tatizo lake na hakuna…
Idadi ya watu nchini Japani yatajwa kupungua
Jumla ya idadi ya watu nchini Japani imepungua kwa mwaka wa 15 mfululizo mwaka 2023, ikipungua kwa zaidi ya watu nusu milioni huku idadi ya watu wakizeeka na kuzaliwa kubaki…
Netanyahu na Biden kukutana juu ya makubaliano magumu ya Gaza
Joe Biden atamshinikiza Benjamin Netanyahu kutia muhuri makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza, licha ya kujiondoa kwa rais wa Marekani katika uchaguzi wa kutishia kupunguza uwezo wake dhidi ya Waziri Mkuu…