Oparesheni maalumu ya kuwadhibiti wanyamapori wakali na waharibifu aina ya fisi Simiyu
Oparesheni maalumu ya kuwadhibiti wanyamapori wakali na waharibifu aina ya fisi waliokuwa wanaleta taharuki na madhara Kwa jamii inayoendelea Mkoani Simiyu imeonesha mafanikio makubwa baada ya fisi 16 kuvunwa ikiwa…
Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya anga kuonyesha uwezo wa kuzuia mashambulizi
Korea Kusini siku ya Alhamisi ilifanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi na Marekani ili kuzuia vitisho vya kijeshi vya Korea Kaskazini, kulingana na Wizara ya Ulinzi ya Seoul. Mazoezi ya…
Wasanii Morogoro walia na wadhamini
Wasanii wa nyimbo mbalimbali mkoani Morogoro wamesema changamoto kubwa inayowakabili ni kukosa mitaji na wafadhiri ambao wanaweza kuwaunga mkono Ili waweze kufanikiwa. Wakizungumza na Ayo tv baadhi ya wasanii hao…
Watu 12 wakamatwa kwa kufanya biashara mtandaoni bila leseni
Jeshi la polisi kushirikiana na TCRA na Benki ya Tanzania wamefanikiwa kuwakamata Watu 12 kwa tuhuma za kujihusiha na utapeli Kwa njia ya mtandao kupitia kampuni ya inayofahamika kwa jina…
Kamati ya Bunge yajionea uwekezaji wa Bilioni 732 kiwanda cha sukari
Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo leo wameitembelea Kampuni ya Sukari Kilombero mkoani Morogoro ili kujionea maendeleo ya mradi wa kimkakati ya upanuzi…
Mazungumzo kuhusu awamu inayofuata ya kusitisha mapigano Gaza wiki hii
Israel na Hamas wataanza mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kuhusu hatua ya pili ya makubaliano ya kusitisha mapigano wiki hii, maafisa wamesema. Mazungumzo yalipaswa kuanza tarehe 4 Februari, lakini…
Zaidi ya mil.270. kutekeleza mradi wa maji r/Mbuyuni
Serikali ya Awamu ya Sita kupitia wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA imetoa zaidi ya shilingi Millioni 271 kwaajili ya uboreshaji wa mradi wa maji wa Ruaha…
Zelenskyy kukutana na mjumbe wa Marekani baada ya matamshi ya Trump
Volodymyr Zelenskyy anatazamiwa kukutana na Keith Kellogg, Mjumbe Maalum wa Rais wa Marekani Donald Trump kwa Ukraine na Urusi huku kukiwa na msukumo wa Ikulu ya White House kumaliza vita…
Mateka sita walio hai wa Israel wanatazamiwa kuachiliwa siku ya Jumamosi
Hamas itawaachilia mateka sita walio hai wa Israel siku ya Jumamosi, na kuongeza maradufu idadi iliyopangwa awali. Hawa ndio mateka walio hai wa mwisho waliowekwa kuachiliwa chini ya awamu ya…
Rwanda yasitisha mpango wa msaada wa Ubelgiji kutokana na maoni yake dhidi ya vita DRC
Rwanda imesitisha ushirikiano wake wa kutoa misaada na Ubelgiji, kufuatia ukosoaji wa Brussels wa kuhusika kwa Kigali katika mzozo unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Ubelgiji inaishutumu…