VIDEO: Baraka da Prince alivyopanda kwenye stage na mpenzi wake Naj April 24 2016
Usiku wa Jumapili ya April 24 2016 msanii wa Bongofleva Baraka da Prince alifanya show Club 71 Tegeta na kutoa burudani ya nguvu kwa mashabiki wake, utamu wa show ulizidi…
VIDEO: Maneno ya Zitto Kabwe kuhusu JPM kuingilia majukumu ya Mawaziri
April 25 2016 Chama cha ACT Wazalendo kimekutana katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama jijini Dar es salaam. Katika hotuba yake Kiongozi Mkuu wa chama hicho na Mbunge wa…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 26 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Mr. Blue kasikitishwa na wimbo wa ‘Freedom’ alioutoa Mr. II Sugu
Msanii wa Bongefleva ambaye jina lake lilianza kushine kwenye game ya muziki wa Bongofleva toka akiwa na umri mdogo Mr. Blue, amerudi kwenye headlines baada ya kupost kupitia account yake…
PICHAZ 20: Mafuriko kijiji cha Changalawe Mikumi yamemfanya Prof Jay kwenda kuwatembelea wahanga
Mbunge wa Jimbo la Mikumi Joseph Haule a.ka Profesa Jay April 25 2016 siku moja baada ya kupeleka msaada wa mabomba Ruaha amelazimika kwenda kuwatembelea wanakijiji wa Changalawe kata ya Masanze…
Habari 11 kubwa kwenye TV za Tanzania April 25 2016
Kama utakua ni mpenzi wa kutazama taarifa ya habari na hukupata time ya kutazama taarifa ya Habari ya April 25 2016 kupitia TV za Tanzania usijali millardayo.com imekurekodia habari 10 kupitia…
VideoMPYA: Mr II Sugu katimiza ahadi… video mpya aliyotuahidi ndio hii imetoka
Mbunge wa Mbeya mjini ambaye ni msanii wa kitambo wa hiphop Tanzania Joseph Mbilinyi (Mr. II Sugu) aliahidi wiki kadhaa zilizopita kwamba ataachia video yake mpya baada ya kimya kirefu…
VIDEO: Vijue vitu 6 kuhusu collabo ya Diamond na Papa Wemba, meneja Sallam kayaongea haya
Asubuhi ya Jumapili April 24 2016 headlines za taarifa za kifo cha mwimbaji mkongwe kutoka Congo DRC Papa Wemba alifariki baada ya kuanguka jukwaani akiwa anatumbuiza huko Abidjan Ivory Coast. Sasa…
VIDEO: Tazama yanayotajwa kuwa ni matukio hatari katika soka kwa muda wote
Katika soka kuna mengi yanatokea kila kukicha ambayo hayawezi kusahaulika faulo nazo ni sehemu ya mchezo ila hizi ni faulo hatari kuwahi kufanyika katika soka, wapo waliovunjika kutokana na mchezo faulo…
Nimepokea taarifa mpya za uteuzi kutoka Ikulu leo April 25 2016
April 25 2016 imetolewa taarifa kutoka Ikulu kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ambayo imeeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi…