Kama ni shabiki wa Harmonize hutotaka hizi kazi zake za Dodoma na Mwanza zikupite
Najua kuna watu wangu wao ni damudamu milele na mmiliki wa mdundo ‘Bado’ Harmonize, Kama hukupata time ya kuitazama show zake za Mwanza April 16 2016 na Dodoma April 23 2016 basi…
Muda mchache kabla ya mechi ya Man City vs Real Madrid, hizi ni takwimu muhimu kuzifahamu
Bado masaa kadhaa kabla ya nusu fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kuchezwa katika uwanja wa Etihad Uingereza, mchezo ambao utakuwa unazihusisha klabu za Man City dhidi ya…
Kuna Mvua kubwa inashuka, taarifa imetolewa
April 26 2016 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imetoa taarifa kwa umma ya kuwepo kwa mvua kubwa na upepo mkali, taarifa hiyo ya mamlaka ya hali ya hewa imetaja maeneo yatakayoathirika…
NewAUDIO: Nuh Mziwanda ft Alikiba ‘Jike Shupa’ imeachiwa leo April 26 2016
Baada ya kufanya vizuri na hit single kadhaa ikiwemo ‘Bilima’ katika game ya muziki wa Bongofleva Nuh Mziwanda leo April 26 2016 ameachia brand new track aliyomshirikisha Alikiba, Mziwanda ameachia audio…
Imetangazwa noti yenye muonekano mzuri kuliko zote duniani kwa mwaka 2016
Mkutano wa Mwaka wa ‘International Bank Note Society’s ‘IBNS’ umetambua ubunifu wa kutengeneza noti za fedha zenye muonekano mzuri na usalama zaidi. Katika mkutano wao wa mwaka IBNS wameitangaza noti ya Dollar…
VideoMPYA: Snura anatualika kuitazama video yake mpya ya ‘chura’
Sauti yake Snura tunayo kwenye hit single ‘majanga‘ ambayo ndio ilimtoa, sasa kwenye mfululizo wa nyimbo zake anazoendelea kuzitoa amefikia hapa kwenye kuitoa hii chura ambayo video yake ni official…
LEAKED: Watarajie wachezaji wa Arsenal katika muonekano huu msimu wa 2016/2017
Ni kawaida kwa vilabu vya soka barani Ulaya kuwa na utamaduni na mbinu tofauti tofauti za kuhakikisha kila mwaka wanaendeleza kuiingizia klabu mapato, moja kati ya mbinu zinazotumika kuiingizia klabu…
VIDEO: Snura alivyoionyesha kwa mara ya kwanza ‘Chura’ Maisha Basement night club
Usiku wa April 24 2016 Maisha Basement mrembo ambaye alianza kutamba katika Bongomovie na baadae kuingia katika muziki wa Bongofleva Snura Mushi alifanya uzinduzi wa video ya ngoma yake mpya…
Exclusive: Wastara aeleza kwanini ndoa yake na Mbunge imevunjika ndani ya siku 80, pia kukatwa mguu
Mwigizaji Wastara anavyo vichwa vya habari Tanzania kutokana na ndoa yake kuvunjika ndani ya siku 80 akiwa kaolewa na Mbunge wa Zanzibar, hii ndio ndoa yake iliyowahi kukaa kwa muda…
NEWS: Mapato ya Bilioni 400 kupotea imefanya Rais Magufuli achukue maamuzi haya leo
Rais Magufuli ameivunja Bodi ya mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) na kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Dkt. Ally Yahaya Simba kutokana na kutosimamia ipasavyo mkataba wa utekelezaji wa…